CCM na nyie mnalo la kujifunza kwa CHADEMA, muache ule utaratibu wenu wa kutoa fomu moja ya urais, CHADEMA katika hili nawapongeza!

CCM na nyie mnalo la kujifunza kwa CHADEMA, muache ule utaratibu wenu wa kutoa fomu moja ya urais, CHADEMA katika hili nawapongeza!

Makavuli

JF-Expert Member
Joined
Aug 27, 2024
Posts
1,425
Reaction score
1,829
CHADEMA kwa sasa wapo kwenye kinyang'anyiro kikali cha kugombea nafasi ya uenyekiti wa chama kati ya Mbowe na Lisu hiyo ndio demokrasia sio kuwatishia watu wasichukue fomu kwenye baadhi ya nafasi iyo sio sawa kidemokrasia!

Kama mgombea anajiamini aache apate challenge kutoka kwa washindani wake kama anafaa atachaguliwa tu sio kuwaogopesha watu ikiwemo kushughulikiwa!

Kwa maana iyo CCM na nyie jifunzeni kwa CHADEMA msitoe fomu Moja ya kugombea URAIS waacheni wanaotaka na wao wachukue fomu tutawapima kama wanafaa ama awafai ndio demokrasia!
 
CHADEMA kwa sasa wapo kwenye kinyang'anyiro kikali cha kugombea nafasi ya uenyekiti wa chama kati ya Mbowe na Lisu hiyo ndio demokrasia sio kuwatishia watu wasichukue fomu kwenye baadhi ya nafasi iyo sio sawa kidemokrasia!

Kama mgombea anajiamini aache apate challenge kutoka kwa washindani wake kama anafaa atachaguliwa tu sio kuwaogopesha watu ikiwemo kushughulikiwa!

Kwa maana iyo CCM na nyie jifunzeni kwa CHADEMA msitoe fomu Moja ya kugombea URAIS waacheni wanaotaka na wao wachukue fomu tutawapima kama wanafaa ama awafai ndio demokrasia!
Tena sio kutoa fomu moja tu, yoyote anayetaka achukue kisha waingie kwenye midahalo wauze sera zao na waulizwe maswali magumu. Kwenye hili imedhihirika cdmni chama cha kidemokrasia kwa vitendo. Ccm huwa wanahubiri ni chama cha kidemokrasia lakini uhalisia unakataa.
 
H
CHADEMA kwa sasa wapo kwenye kinyang'anyiro kikali cha kugombea nafasi ya uenyekiti wa chama kati ya Mbowe na Lisu hiyo ndio demokrasia sio kuwatishia watu wasichukue fomu kwenye baadhi ya nafasi iyo sio sawa kidemokrasia!

Kama mgombea anajiamini aache apate challenge kutoka kwa washindani wake kama anafaa atachaguliwa tu sio kuwaogopesha watu ikiwemo kushughulikiwa!

Kwa maana iyo CCM na nyie jifunzeni kwa CHADEMA msitoe fomu Moja ya kugombea URAIS waacheni wanaotaka na wao wachukue fomu tutawapima kama wanafaa ama awafai ndio demokrasia!
Hawana ubavu huo !
Au kwa lugha laini ni kwamba huo sio utamaduni wao !! 😳
 
CHADEMA kwa sasa wapo kwenye kinyang'anyiro kikali cha kugombea nafasi ya uenyekiti wa chama kati ya Mbowe na Lisu hiyo ndio demokrasia sio kuwatishia watu wasichukue fomu kwenye baadhi ya nafasi iyo sio sawa kidemokrasia!

Kama mgombea anajiamini aache apate challenge kutoka kwa washindani wake kama anafaa atachaguliwa tu sio kuwaogopesha watu ikiwemo kushughulikiwa!
CHADEMA kwa sasa wapo kwenye kinyang'anyiro kikali cha kugombea nafasi ya uenyekiti wa chama kati ya Mbowe na Lisu hiyo ndio demokrasia sio kuwatishia watu wasichukue fomu kwenye baadhi ya nafasi iyo sio sawa kidemokrasia!

Kama mgombea anajiamini aache apate challenge kutoka kwa washindani wake kama anafaa atachaguliwa tu sio kuwaogopesha watu ikiwemo kushughulikiwa!

Kwa maana iyo CCM na nyie jifunzeni kwa CHADEMA msitoe fomu Moja ya kugombea URAIS waacheni wanaotaka na wao wachukue fomu tutawapima kama wanafaa ama awafai ndio demokrasia!
👌🏿💪🏿
 
CHADEMA kwa sasa wapo kwenye kinyang'anyiro kikali cha kugombea nafasi ya uenyekiti wa chama kati ya Mbowe na Lisu hiyo ndio demokrasia sio kuwatishia watu wasichukue fomu kwenye baadhi ya nafasi iyo sio sawa kidemokrasia!

Kama mgombea anajiamini aache apate challenge kutoka kwa washindani wake kama anafaa atachaguliwa tu sio kuwaogopesha watu ikiwemo kushughulikiwa!
👌🏿💪🏿
Lakini itapendeza utaratibu huo upangwe uje uanze kutumika kuanzia 2030 !
Haiwezekani miaka yote ya uhai wa Ccm haijawahi kutokea kwa mgombea wa nafasi ya URAIS kwa muhula wa pili kushindanishwa na wagombea wengine halafu Eti sasa ndio iwe NONGWA !!😳

Sisi tuliosomea Cuba tutajiuliza je hii ni kwa vile aliyepo anatokea upande wa pili wa Muungano ???!!

Hii haitokua sawa kabisa kabisa !

Kama mnataka kubadilisha kautaratibu hako muanze kukapigia debe kuanzia sasa kisha mukapitishe kaje kuanza kutumiwa kuanzia mwaka 2030 na kuendelea !
ACHENI HIZO ABRACADABRA !
 
Back
Top Bottom