kipipili
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 1,587
- 186
kwa nini sera za ccm zimekuwa za jumla jumla mno, mfano
-tutaimarisha usafiri wa nchi kavu, majini na angani
-tutashughulikia suala la kadhi
-tutaboresha sekta ya kilimo na mifugo
-tutaimarisha elimu ya msingi, sekondari na vyuo vikuu,
mtakuwa mashahidi baada ya kubanwa huja na majibu mepesi ndiyo maana wanadai kuwa ilani ya uchaguzi ya 2005-2010 imetekelezwa kwa asilimia zaidi ya 90.
mfano kwenye UDOM Zitto aliwaomba wabunge wa CCM wqaoneshe kwenye ilani yao ilip[osemwa kuwa watajenga UDOM wakachemsha, jibu ilani inasema tutaimarisha elimu na UDOM ni utekelezaji wa ilani hiyo,
Suala la kadhi walipobanwa wakasema waislamu waendelee nao wenyewe, eti ndiyo wameshughulikia hivo, sasa kulikuwa na haja gani ya kuiweka kwenye ilani. ujanja ujanja tu.
-tutaimarisha usafiri wa nchi kavu, majini na angani
-tutashughulikia suala la kadhi
-tutaboresha sekta ya kilimo na mifugo
-tutaimarisha elimu ya msingi, sekondari na vyuo vikuu,
mtakuwa mashahidi baada ya kubanwa huja na majibu mepesi ndiyo maana wanadai kuwa ilani ya uchaguzi ya 2005-2010 imetekelezwa kwa asilimia zaidi ya 90.
mfano kwenye UDOM Zitto aliwaomba wabunge wa CCM wqaoneshe kwenye ilani yao ilip[osemwa kuwa watajenga UDOM wakachemsha, jibu ilani inasema tutaimarisha elimu na UDOM ni utekelezaji wa ilani hiyo,
Suala la kadhi walipobanwa wakasema waislamu waendelee nao wenyewe, eti ndiyo wameshughulikia hivo, sasa kulikuwa na haja gani ya kuiweka kwenye ilani. ujanja ujanja tu.