USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 10,904
- 26,184
Wanahangaika mahakamani kupambania uchaguzi wa serikali za mitaa usimamishwe wenzao wako busy kusaka kura mtaa kwa mtaa huku wakijua mahakimu na majaji wote wanateuliwa kutoka CCM, watasubiri sana.
Wapo mitandaoni kutukana viongozi wenzao wapo mitandaoni kusaka kura
USSR
Wapo mitandaoni kutukana viongozi wenzao wapo mitandaoni kusaka kura
USSR