Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
tunasema hivi , mwisho wao ni 2015 , Mungu yuko upande wa wananchi .
2015 baada ya uchaguzi kuna watu watabadili ID au watakimbia kabisa JF, sis wote ni watanzania wenye mapenzi mema kabisa na nchi yetu na tunatamani siku moja kila anayeitwa mtanzania apate huduma zote za msingi awe na maisha bora. Chama cha mapinduzi hakina hati ya kutawala milele pale kitakapotokea chama chenye sera bora na madhubuti wananchi wanaweza wakakichagua kushika hatamu. Lakini kwa bahati mbaya mpaka leo hii hakuna chama chenye sifa hizo zaidi ya CCM pekee. Sera za kuongoza nchi sio habari za mafisadi tu,na maandamano ya kijinga au mkakati wa kuiondoa CCM, nini sera zenu mtatufanyia nini watanzania??? mnakaa tu. mnanyoosha vidole ktk majukwaa yule mwivi, lakini kwa bahati njema watanzania tuna akili timamu. Tunafahamu nini cha kufanya wakati wa uchaguzi.
Kidumu chama cha mapinduzi
hivi Nyani Ngabu nae gamba...
CCM ni chaguo la Mungu kwa watu wake
We ultaka wakuletee hela CCM Kwenu?
Laana ya Mungu ikutafune wewe na kizazi chako chote .
We ultaka wakuletee hela CCM Kwenu?
Nina milion 15 nahitaji kiwanja kisichopungua ukubwa WA 1200 m2!!!! Maeneo ya Boko, Kigamboni, Bunju, mbweni jkt, kibada, tuangoma...kiwe mahali ambapo watu wameshaanza kujenga kwenye huduma za kijamii...uko pasta au kusikia naomba unijurishe...email yangu ni woowtv@live.co.uk. Asante.
www.bongosingles.com
Duh wasani hawa hawana tena nyimbo ndio mwisho wao umefika!
Dah rafiki umenipa maisha marefu sana.Heri ya mwaka mpya kwanza
Mkuu sioni kitufe cha like duh au nikasimu changu cha mchina ningeipa like miaHii thread inatakiwa ipewe tuzo ya Thread bora kabisa JF