CCM ndicho chama kilicho na Demokrasia bora na yenye nidhamu kubwa kuliko vyama vya upinzani Tanzania

CCM ndicho chama kilicho na Demokrasia bora na yenye nidhamu kubwa kuliko vyama vya upinzani Tanzania

Mafyangula

Member
Joined
Jan 16, 2025
Posts
75
Reaction score
100
Hakika nasadiki kusema hivyo kama kichwa cha habari kinavyojieleza!

CCM wanasiasa bora sana na zenye demokrasia nzuri na sio kuchafuana kama walivyo wale wengine kila kukicha wao ni kupakazana matope huyu kafanye lile tena hata bila kuweka ushahidi. Yani siasa zisizo za adabu na zilizokosa Demokrasia nzuri.

Halafu wanataka wapewe nchi kwa tabia mbovu kama hizo! kwakweli nchi hii wataendelea kuishikilia CCM tu nyie vyama vingine mtabaki kuwa wapenzi watazamaji tuuuu! Maana tunaogopa kuwapa nchi watu walopokaji na wenye tabia za kihuni tu!

Mimi naendelea kubaki na CCM tu na Rais wetu mpendwa Samia Suluhu Hassan tunampa kura za ndiyo mwaka huu katika uchaguzi mkuu!

CCM ni lichama kubwa sanaaaa! na Mitano tena kwa mama Samia!
 
Umejiunga leo na bandiko la kwanza unasifia CCM.

Basi utapaenjoy sana humu. Its going to be a bumpy ride

Kila la heri
 
Kufichiana maovu na ufisadi ndiyo nidhamu unayoiongelea?
Majizi lazima yalindane na kufichiana siri
 
Hakika nasadiki kusema hivyo kama kichwa cha habari kinavyojieleza!

CCM wanasiasa bora sana na zenye demokrasia nzuri na sio kuchafuana kama walivyo wale wengine kila kukicha wao ni kupakazana matope huyu kafanye lile tena hata bila kuweka ushahidi. Yani siasa zisizo za adabu na zilizokosa Demokrasia nzuri.

Halafu wanataka wapewe nchi kwa tabia mbovu kama hizo! kwakweli nchi hii wataendelea kuishikilia CCM tu nyie vyama vingine mtabaki kuwa wapenzi watazamaji tuuuu! Maana tunaogopa kuwapa nchi watu walopokaji na wenye tabia za kihuni tu!

Mimi naendelea kubaki na CCM tu na Rais wetu mpendwa Samia Suluhu Hassan tunampa kura za ndiyo mwaka huu katika uchaguzi mkuu!

CCM ni lichama kubwa sanaaaa! na Mitano tena kwa mama Samia!
Hivi Kuna demokrasia ya kuteuana? Nashangaa wajumbe wanaenda kikao ambacho hawajui wanaenda kumchagua nani.ah! Ni hatari kwelikweli halafu kunamtu anakuja kuandika kwamba Kuna demokrasia
 
Tuambie wanachama.wangapi waligombea cheo cha makamu mwenyekiti?

Kwa hiyo wajumbe wote hao wamekuja Dom kupitisha tu na si kuchagua... jina ambalo wataingia ukumbini hata hawalijui

CCM mna dhambi nyie!!
 
CCM wana Demokrasia dola, bila Dola CCM hawana lolote.
 
CCM ni lichama kubwa sanaaaa! na Mitano tena kwa mama Samia!
Demokrasia ambayo Mwenyekiti anaenda na majina ya wagombea anaowataka? Upumbavu mtupu. CHADEMA ndio chama chenye demokrasia halisi, CCM ni nani anayeweza hata kumjibu Mwenyekiti wake kama sio kuitikia UJINGA Tu?? Au hujui maana ya demokrasia
 
Hakika nasadiki kusema hivyo kama kichwa cha habari kinavyojieleza!

CCM wanasiasa bora sana na zenye demokrasia nzuri na sio kuchafuana kama walivyo wale wengine kila kukicha wao ni kupakazana matope huyu kafanye lile tena hata bila kuweka ushahidi. Yani siasa zisizo za adabu na zilizokosa Demokrasia nzuri.

Halafu wanataka wapewe nchi kwa tabia mbovu kama hizo! kwakweli nchi hii wataendelea kuishikilia CCM tu nyie vyama vingine mtabaki kuwa wapenzi watazamaji tuuuu! Maana tunaogopa kuwapa nchi watu walopokaji na wenye tabia za kihuni tu!

Mimi naendelea kubaki na CCM tu na Rais wetu mpendwa Samia Suluhu Hassan tunampa kura za ndiyo mwaka huu katika uchaguzi mkuu!

CCM ni lichama kubwa sanaaaa! na Mitano tena kwa mama Samia!
Kwa sasa CHADEMA inamuhitaji sana LISSU kuliko MBOWE a.k.a Museveni.

Quote
 
Back
Top Bottom