CCM ndio chama

Ila kwa sahivi umesema huwezi kumsikiliza πŸ˜„ umegeuka tena
Tlaatlaah
Lucas Mwashambwa

Ova
Huyu ni mnafiki anayesumbuliwa na njaa tumboni mpaka kichwani.ndio maana kwenye mada yake ya jana anayosema hawezi kumsikiliza Rais wetu Mpendwa nimempuuza bila kumjibu kitu.nimegundua ni mroho wa madaraka na aliyekuwa CCM kwa kutaka vyeo na alipokosa ameanza kutapatapa kama kichaa au mwendawazimu
 
Aise Mayor Quimby

Ova
 
Mbona mwanzo alimsifia sana
Huoni bandiko imekuwaje tena kageuka πŸ˜„

Ova
ni muhimu kuheshimu maoni na mtazamo wa wengine kuhusu jambo fulani.

mambo yanabadilika.
Hata hivyo hiyo haina athari yote katika siasa za sasa na haizuii hata kidogo mambo mengine kusonga mbele bila mbambamba πŸ’
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…