Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MARA YA MWISHO KUFANYIWA KIPIMO CHA TEZI DUME KABLA KUGUNDULIKA KIPIMO CHA DAMU ILIKUWA LINIChama cha Mapinduzi ndio mkombozi wa watu Wanyonge nchini. Chama cha wakilima na wafanyakazi.
Baba ni kichwa cha familia, familia ikiwa masikini au taabuni, yeye (baba) atakuwa kahusika asilimia kubwa. Hivyo hawezi kuwa mkombozi tenaChama cha Mapinduzi ndio mkombozi wa watu Wanyonge nchini. Chama cha wakilima na wafanyakazi.
Kweli Ccm Ina mpango wa kuwakomboa wanyonge mnamo.mwaka 3024Chama cha Mapinduzi ndio mkombozi wa watu Wanyonge nchini. Chama cha wakilima na wafanyakazi.
Wewe unaona mbali sana Mungu akubariki.Kweli Ccm Ina mpango wa kuwakomboa wanyonge mnamo.mwaka 3024
Lakini vipo vyama vinataka kuwakomboa wanyonge Kuanzia kesho 22 .06.2024
Nani anatufaa?
Kama ulivyoandika" ni mkombozo" chama cha mambuzi(CCM), chama cha matapeli (CCM),chama cha majizi(CCM), chama cha mafisadi(CCM)Chama cha Mapinduzi ndio mkombozo wa watu Wanyonge nchini. Chama cha wakilima na wafanyakazi.
NB: uapisho wa Ramaphosa Boeing 787 abiria 246
Hajasema Mkombozi bali mkombozo, na hajawaongelea wakulima bali wakilima.Mkombozi wa Wanyonge ni Yesu Kristo!
Chama kinacho endeleza unyongeHuna akili wewe.Hao wanyonge wameupataje huo unyonge?Miaka zaidi ya 60 wameshindwa na hawana uwezo huo wa kukomboa mtu.Leo hii umeshiba uji unaandika upuuzi.
Wanaona kuita viumbe wa Mungu wanyonge kama ni sifa nzuri. Eti "wanyonge "!🤣🤣🤣🤣🤣Chama kinacho endeleza unyonge