Uchaguzi 2020 CCM ndivyo walivyo, ulaghai ilimradi waendelee kubaki madarakani

Uchaguzi 2020 CCM ndivyo walivyo, ulaghai ilimradi waendelee kubaki madarakani

kamtesh

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2014
Posts
1,395
Reaction score
513
Kama yote hayo ni kweli, mnaficha nini? Tuliambiwa hivi hivi kuhusu migodi yote yenye mikataba tata, tuliambiwa hivyohivyo kuhusu Richmond, Escrow na ujinga mwingine mwingi. CCM ndivyo walivyo, ulaghai ilimradi waendelee kubaki madarakani. Tunaamishwa hivyo kila Leo wakati watu wanapiga hela kila Leo.

Nchi maendeleo kiduchu na kina la majina ya ajabu ya wa Tanzania kama vile eti mtetezi wa WANYONGE. Wanyonge my foot. Hizi political propaganda zina mwisho na huu ndo mwisho wao. Hata Mobutu alijenga Zaire, lakini akawa dikteta aliua wote wapinzani wake, akaiba sana hela za umma na kujimilikisha nchi ya Zaire kama shamba lake. Kaishia wapi na roho mbaya yake. Wananchi masikini walihangaika sana.

Leo mnatuletea uhalalishi wa matumizi mabovu ya hela ya umma, We need change of government. Hii porojo zitakuwepo daima, hata nikifika 2025, wataleta mwingine na kuaminisha umma wa watanzania kwamba anafaa tena kuendelea kuliangamiza taifa.

Kwa bahati mbaya tumeo lengo na nia yao ovu ya ccm kutaka kuua upinzani. Wakiingia tena watapisha sheria yakuongeza muda wa rais, au kufutilia mbali upinzani.
 
Kaongea nini hapo kuhusu hoja za wapinzani. Mikataba iko wapi? Si Mara ya kwanza ccm kulea ma kablasha yakujitetea mbele ya umma was watanzamia. Ilikua hivi mgodi wakiwila, mchuchuma, Bulyamguru sijui wapi,

Bahati mbaya watanzania tumechukuliwa kuwa mazuzu na wasio dadisi wala.kuhoji wengi wetu. Ameleta hayo makablasha, copy and pest, hakuna alieshika wala kukagua uhalali wake. Kayakumbatia mwenyewe mwanzo mwisho.

Wao ndo wapi madarakani, kufanya mbini zozote zile kuleta makablasha yanayo fanania na ukweli ni rahisi kweli. Kwahio tumeona uongo na blablabla zao. Polepole alikua anaongea kwa kukosa nguvu, alikua anajichelelesha tuu, maana alijua kabeba document fake, ilikuhalisha matakwa yao.
Mwisho wao wa ujanjaujanja umefika, hatuwaelewi kabisa. Ameshindwa hats kuongelea swala LA maslahi ya watumishi ambayo ni haki yao kikatiba. Amaleta takwimu za kishikaji pato limekua mpaka trillion 120 ndani ya miaka mitano. Jiulize rulizalisha nini ambacho kimetufikisha huko, hamna. Pato limekua with no trickle effect kwa wananchi, halafu nifurahi. Kushabikia uchumi wakati wachini tumeingia two months ago, umekua wimbo, maisha ya watanzamia nia dhiki walio wengi. Halafu unasima.kusema.ccm.hoyee! Aibu tupu. Na bado watawewe seka sana. Maana walisema 2020 kutakua hamna upinzani, kiko wapi? Dharau zao zitawa cost kama walivuo pigwa chini Zanzibar mpaka kufikia Jecha kuhujumu uchaguzi. Naona ya Zanzibar kutokea huku bars mwaka huu. Ee Mungu tusaidie mwisho mwema.
 
Tuko vizugi mataga ripoti ya uwekezaji duniani hii hapa .
IMG_20200925_214828.jpg
IMG_20200925_214841.jpg
 
Tuko vizugi mataga ripoti ya uwekezaji duniani hii hapa .View attachment 1580989View attachment 1580990
What is its trickle effect? Is translating to peoples life standards. These are those statistics cooked in some place. CCM numbers don't go down ever. Wanapende kinachowapendeza toka kwamabeberu. Lakini takwimu za ukandamizaji wa haki za binadamu, vyombo vya habari, sheria na mengine mengi wanaruka futi 1000 kukataa. Chama kandamizi sana hiki.
 
Back
Top Bottom