Sasa naona ccm wameamua kuhamishia kampeni zao kwenye magazeti
ya mwanachama wao shigongo kama ijumaa,risasi,champion,magazeti ambayo yanawadharirisha mama na dada zetu kwa habari zao za kupikwa,sasa inajdhihirisha wazi kuwa hiki ni chama cha wadaku,wafitini,mafisadi,tuamkeni na tuiwaamshe wenzetu,muda wa mabadiliko ni sasa
ya mwanachama wao shigongo kama ijumaa,risasi,champion,magazeti ambayo yanawadharirisha mama na dada zetu kwa habari zao za kupikwa,sasa inajdhihirisha wazi kuwa hiki ni chama cha wadaku,wafitini,mafisadi,tuamkeni na tuiwaamshe wenzetu,muda wa mabadiliko ni sasa