CCM ni chama cha kisanii zaidi kuliko siasa, uwongo,udaku,umbea, fitina, majungu,siasa za maji taka,ufisadi,uhuni,ubadhirifu na kila aina ya uovu unapatikana CCM.Magazeti ya Shigongo yameleta maafa kwenye jamii nyingi hapa nchini,ndoa nyingi zimevunjika kutokana umbea wa magazeti ya Global Publishers. Sasa kwa CCM kukimbilia huko ni ishara mbaya kwao kuelekea uchaguzi mkuu mwaka huu. Sijui Watanzania wanahitaji ishara gani zaidi juu lichama hili ccm.