CCM ni chama kinachotakiwa kufutwa mapema kwa ustawi wa Taifa

CCM ni chama kinachotakiwa kufutwa mapema kwa ustawi wa Taifa

DR HAYA LAND

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2017
Posts
23,928
Reaction score
63,499
Hiki chama ..kinatakiwa kufutwa haraka sana .

Watu wengi wenye nia ovu na Taifa letu wamejifichà katika kivuli cha hiki chama.

Wananchi wengi wanahitaji Amani ya kweli.
😛Pendekezo msajiri ebu futa hiki chama Mara moja . tunaitaji Tz imara isiyokuwa na vyama vyenye kulea watu waovu.
 
msajiri hata futaje chama wakati kaajiliwa na serekali ya ccm.

kikubwa katiba ndio kila kitu
 
Hiki chama ..kinatakiwa kufutwa haraka sana .

Watu wengi wenye nia ovu na Taifa letu wamejifichà katika kivuli cha hiki chama.

Wananchi wengi wanahitaji Amani ya kweli.

😛endekezo msajiri ebu futa hiki chama Mara moja . tunaitaji Tz imara isiyokuwa na vyama vyenye kulea watu waovu.
Kweli tupu tunatawaliwa na wezi wakubwa tufanye kitu kuondoa hili genge.
 
Hiki chama ..kinatakiwa kufutwa haraka sana .

Watu wengi wenye nia ovu na Taifa letu wamejifichà katika kivuli cha hiki chama.

Wananchi wengi wanahitaji Amani ya kweli.

😛endekezo msajiri ebu futa hiki chama Mara moja . tunaitaji Tz imara isiyokuwa na vyama vyenye kulea watu waovu.
Wanachama wake nao itakuwaje?Wahamie Kazakhstan wakalime bangi.
 
Vile CCM wanajifanya kuupiga mwingi kupitia mgongo wa Polisi,TISS na tume ya uchaguzi wakati wameshapitwa na wakati siku nyingi sana!😁😁😁
View attachment 1912204
AA3bhl.jpg
 
Wewe unaona kuna chama chochote huko nje chenye nafuu kuliko CCM,mbona wote ni manyang'au tu!!
 
Kufuta CCM sio issue..! Issue kikishafutwa Mbadala nini..? Viko wapi Vyama serious Mbadala? Vyama vilivyopo ni Vya mfukoni havina hata Ofisi za Makao Makuu zinazoeleweka..!
 
Hiki chama ..kinatakiwa kufutwa haraka sana .

Watu wengi wenye nia ovu na Taifa letu wamejifichà katika kivuli cha hiki chama.

Wananchi wengi wanahitaji Amani ya kweli.
😛Pendekezo msajiri ebu futa hiki chama Mara moja . tunaitaji Tz imara isiyokuwa na vyama vyenye kulea watu waovu.
Vipi sasa ikiwa na huyo Msajili naye ni miongoni mwa hao watu wenye nia ovu? Atakifuta kweli!!! Nawaza tu hapa lakini 🤔
 
Back
Top Bottom