Adharusi
JF-Expert Member
- Jan 22, 2012
- 14,422
- 7,350
Nimekuwa nikishangaa kama mwananchama wa chama cha mapinduzi,katika swala la katiba mpya,Viongozi wa chama wamekua mbele kung'ang'ania tena majukwaani kuwa Msimamo wa CCM ni serikali mbili,wakati zaidi 60% ya watanzania wanahitaji serikali tatu!huu ni upuuzi,kuamini CCM ni zaidi ya Watanzania,ni kujidanganya tu,Je kila chama kikiamua kupita majukwaani na kutumia vyombo vya Habari kusema kuwa msimamo wetu ni huu,je tutafikia muafaka,huu ni utoto unaoletwa na kina @Nnauye na wenzake.
Binafsi nimechoka hizi kauli za CCM za kuona Warioba katumia bure Fedha za watanzania kukusanya Maoni,kutaka maoni ya CCM yawe mbele na Ya watanzania yawe nyuma.
Angalizo kama CCM itaendelea na utaratibu huu naomba vyama vya siasa vyote vipite majukwaani,vyombo vya habari kung'ang'ania Misimamo yao,hakuna chama kisicho kuwa na Misimamo yake bali wameamua kukubali maoni ya watanzania kupitia Tume ya katiba ya Warioba
""Allah nakuomba usikie maombi ya wengi ya serikali tatu,CCM na maombi yao ya serikali mbili washindwe na kulegea""""
Binafsi nimechoka hizi kauli za CCM za kuona Warioba katumia bure Fedha za watanzania kukusanya Maoni,kutaka maoni ya CCM yawe mbele na Ya watanzania yawe nyuma.
Angalizo kama CCM itaendelea na utaratibu huu naomba vyama vya siasa vyote vipite majukwaani,vyombo vya habari kung'ang'ania Misimamo yao,hakuna chama kisicho kuwa na Misimamo yake bali wameamua kukubali maoni ya watanzania kupitia Tume ya katiba ya Warioba
""Allah nakuomba usikie maombi ya wengi ya serikali tatu,CCM na maombi yao ya serikali mbili washindwe na kulegea""""