CCM ondoeni dhuluma hii jimbo la Mwanga! Joseph Tadayo hajui majukumu ya mbunge wala kazi za kibunge

CCM ondoeni dhuluma hii jimbo la Mwanga! Joseph Tadayo hajui majukumu ya mbunge wala kazi za kibunge

Kindus

JF-Expert Member
Joined
May 14, 2014
Posts
3,384
Reaction score
2,073
Kwa mfumo wa kura za maoni kupigwa na wajumbe tu kumeleta madhara makubwa ya kiuongozi nchi hii

Jimbo la MWANGA mkoani Kilimanjaro ni Moja kati ya majimbo yalokosa uelekeo wa kiuongozi katika awamu ulopita.

Mbunge wa Mwanga ndugu yangu Joseph Tadayo sio tu kuwa hajui majukumu ya Mbunge Bali pia anaonekana kutojua kazi za kibunge.

Sijaweza kumwona popote alipopaweza si kwa kuleta maendelewa jimboni Wala hata kujenga hoja katika michango ya kawaida ndani ya bunge

Zaidi sana yeye akishirikiana na mkurugenzi Mwajuma Nashombe ambaye kahamishiwa Moshi mjini walishiriki kufanya ufisadi wa ajabu katika ujenzi wa Hospitali ya wilaya.

Mbunge huyu hakuwa chaguo la watu wa Mwanga kwakuwa walimjua kuwa haiwezi kazi hii bali alijipenyeza kwa kuhonga wajumbe kisha kupenya Tena kwenye uchaguzi mkuu kutokana na kuvurugwa kwa uchaguzi wa 2020 operation fukuza wapinzani bungeni iloendeshwa na serikali ya hayati Magufuli.

Wito wangu kwa Chama hiki kikongwe rudisheni mfumo wa zamani wa kura kwa wanachama wote hii itakuwa ngumu kwa watu kununua kura.

Wajumbe hununuliwa kirahisi sana.
 
Acha kumzushia uongo "Wakili msomi "-Tadayo. Huyo Tadayo ni miongoni mwa watu makini na wasomi kwenye bunge hili la awamu ya 6. Anawasilisha matatizo ya wana-Mwanga kiweledi.

So kama una mgombea wako mfukoni na unataka kumchafua mwanasheria msomi Tadayo umeshindwa.

Tadayo ni mtu muhimu kwa wana-Mwanga wote na nchi kiujumla.
 
Acha kumzushia uongo "Wakili msomi "-Tadayo. Huyo Tadayo ni miongoni mwa watu makini na wasomi kwenye bunge hili la awamu ya 6. Anawasilisha matatizo ya wana-Mwanga kiweledi.

So kama una mgombea wako mfukoni na unataka kumchafua mwanasheria msomi Tadayo umeshindwa.

Tadayo ni mtu muhimu kwa wana-Mwanga wote na nchi kiujumla.
Mwaga inazidi kuwa masikini sababu ya CCM
 
Sema mnautaka ubunge. Sijui uwezo wa Thadayo lakini, mlikuwa wapi wakati wote huo?

Kwa kuwa uchaguzi umekaribia ndiyo mnakuja kupiga kelele?
 
Acha kumzushia uongo "Wakili msomi "-Tadayo. Huyo Tadayo ni miongoni mwa watu makini na wasomi kwenye bunge hili la awamu ya 6. Anawasilisha matatizo ya wana-Mwanga kiweledi.

So kama una mgombea wako mfukoni na unataka kumchafua mwanasheria msomi Tadayo umeshindwa.

Tadayo ni mtu muhimu kwa wana-Mwanga wote na nchi kiujumla.
Usilete siasa kwenye mambo muhim ya maisha ya watu Tadayo alionewa tu kupewa kazi asiyoiweza
 
Usilete siasa kwenye mambo muhim ya maisha ya watu Tadayo alionewa tu kupewa kazi asiyoiweza
Wewe ndiye unaleta siasa. Kama mnautaka ubunge, nendeni Kwa wananchi waombeni kura. Kwanini muanze na uzushi. Wajinga ninyi!
 
Kwa mfumo wa kura za maoni kupigwa na wajumbe tu kumeleta madhara makubwa ya kiuongozi nchi hii

Jimbo la MWANGA mkoani Kilimanjaro ni Moja kati ya majimbo yalokosa uelekeo wa kiuongozi katika awamu ulopita.

Mbunge wa Mwanga ndugu yangu Joseph Tadayo sio tu kuwa hajui majukumu ya Mbunge Bali pia anaonekana kutojua kazi za kibunge.

Sijaweza kumwona popote alipopaweza si kwa kuleta maendelewa jimboni Wala hata kujenga hoja katika michango ya kawaida ndani ya bunge

Zaidi sana yeye akishirikiana na mkurugenzi Mwajuma Nashombe ambaye kahamishiwa Moshi mjini walishiriki kufanya ufisadi wa ajabu katika ujenzi wa Hospitali ya wilaya.

Mbunge huyu hakuwa chaguo la watu wa Mwanga kwakuwa walimjua kuwa haiwezi kazi hii bali alijipenyeza kwa kuhonga wajumbe kisha kupenya Tena kwenye uchaguzi mkuu kutokana na kuvurugwa kwa uchaguzi wa 2020 operation fukuza wapinzani bungeni iloendeshwa na serikali ya hayati Magufuli.

Wito wangu kwa Chama hiki kikongwe rudisheni mfumo wa zamani wa kura kwa wanachama wote hii itakuwa ngumu kwa watu kununua kura.

Wajumbe hununuliwa kirahisi sana.
Muda wowote kuanzia sasa CCM tutakutana kubadilisha utaratibu wa sasa na kurudi ule wa zamani.Jambo hilo limeshaamriwa.
 
Wewe ndiye unaleta siasa. Kama mnautaka ubunge, nendeni Kwa wananchi waombeni kura. Kwanini muanze na uzushi. Wajinga ninyi!
Ukweli utabakia kuwa ukweli tuu
Ndugu Anania Tadayo aliomba kazi asiyoiweza na nyie mlioko karbu naye tusaidieni kimwambia Wala asichukie fomu
 
Muheza kuna aliyekwisha tangaza kwamba hatashindwa kuwalipa wajumbe laki 2 kwa kura.
 
Kwa mfumo wa kura za maoni kupigwa na wajumbe tu kumeleta madhara makubwa ya kiuongozi nchi hii

Jimbo la MWANGA mkoani Kilimanjaro ni Moja kati ya majimbo yalokosa uelekeo wa kiuongozi katika awamu ulopita.

Mbunge wa Mwanga ndugu yangu Joseph Tadayo sio tu kuwa hajui majukumu ya Mbunge Bali pia anaonekana kutojua kazi za kibunge.

Sijaweza kumwona popote alipopaweza si kwa kuleta maendelewa jimboni Wala hata kujenga hoja katika michango ya kawaida ndani ya bunge

Zaidi sana yeye akishirikiana na mkurugenzi Mwajuma Nashombe ambaye kahamishiwa Moshi mjini walishiriki kufanya ufisadi wa ajabu katika ujenzi wa Hospitali ya wilaya.

Mbunge huyu hakuwa chaguo la watu wa Mwanga kwakuwa walimjua kuwa haiwezi kazi hii bali alijipenyeza kwa kuhonga wajumbe kisha kupenya Tena kwenye uchaguzi mkuu kutokana na kuvurugwa kwa uchaguzi wa 2020 operation fukuza wapinzani bungeni iloendeshwa na serikali ya hayati Magufuli.

Wito wangu kwa Chama hiki kikongwe rudisheni mfumo wa zamani wa kura kwa wanachama wote hii itakuwa ngumu kwa watu kununua kura.

Wajumbe hununuliwa kirahisi sana.
Acha uongo wewe. Unajua ubunge wanasoma wapi? Eti hata bungeni Tadayo hana mchngo? Utakua wale darasa la saba failure ndio maana hata huwezi kuelewa mwanasheria msomi Tadayo amesema nini bungeni. Tadayo ni mmojawapo ya wabunge wazuri na wenye mchango mzuri sana bungeni.
 
Kwa mfumo wa kura za maoni kupigwa na wajumbe tu kumeleta madhara makubwa ya kiuongozi nchi hii

Jimbo la MWANGA mkoani Kilimanjaro ni Moja kati ya majimbo yalokosa uelekeo wa kiuongozi katika awamu ulopita.

Mbunge wa Mwanga ndugu yangu Joseph Tadayo sio tu kuwa hajui majukumu ya Mbunge Bali pia anaonekana kutojua kazi za kibunge.

Sijaweza kumwona popote alipopaweza si kwa kuleta maendelewa jimboni Wala hata kujenga hoja katika michango ya kawaida ndani ya bunge

Zaidi sana yeye akishirikiana na mkurugenzi Mwajuma Nashombe ambaye kahamishiwa Moshi mjini walishiriki kufanya ufisadi wa ajabu katika ujenzi wa Hospitali ya wilaya.

Mbunge huyu hakuwa chaguo la watu wa Mwanga kwakuwa walimjua kuwa haiwezi kazi hii bali alijipenyeza kwa kuhonga wajumbe kisha kupenya Tena kwenye uchaguzi mkuu kutokana na kuvurugwa kwa uchaguzi wa 2020 operation fukuza wapinzani bungeni iloendeshwa na serikali ya hayati Magufuli.

Wito wangu kwa Chama hiki kikongwe rudisheni mfumo wa zamani wa kura kwa wanachama wote hii itakuwa ngumu kwa watu kununua kura.

Wajumbe hununuliwa kirahisi sana.
Gentleman,
unamaanisha au kuthibitisha kwamba kura za maoni ndani CCM ni muhimu zaidi ya uchaguzi mkuu right?🐒

na kwamba mgombea akipita kura za maoni CCM, kwenye uchaguzi mkuu anaenda kukamilisha tu taratibu za kisheria na kikatiba tu right?🐒
 
Acha uongo wewe. Unajua ubunge wanasoma wapi? Eti hata bungeni Tadayo hana mchngo? Utakua wale darasa la saba failure ndio maana hata huwezi kuelewa mwanasheria msomi Tadayo amesema nini bungeni. Tadayo ni mmojawapo ya wabunge wazuri na wenye mchango mzuri sana bungeni.
Weka hapa huo mchango mzuri aloutoa huyo bwana Anania
 
Back
Top Bottom