kaka huo ni mwanzo
Mkuu, ukiangalia hapo pembeni kuna kokoto zinagongwa hapo, inamaanisha mtoto kaja mama yake chimboni, mama anapasua kokoto, mtoto anakula vumbi hapo na jua la kutosha.
Mama anaponda kokoto, mtoto kalazwa kwenye mfuko wa cement!
Mungu saidia...!