CCM Pambalama!


Kithuku,

Miye nilisikia kwenye Mbiu za Mikoa, Asilia Salamu na vipindi vingine vilivyopiga muziki wa kilugha (kikabila). Sijui asili yake ni kabila gani wala maana yake. Nilivyouimba hapa ni jinsi nilivyojitahidi kukumbuka.

Lakini nia kubwa haikuwa kuimba wimbo, bali ni kuijadili CCM ambayo ilisifika enzi zileeee...na sasa unanuka uvundo na uozo!
 


Hivi ndivyo ilivyo JF , mbona munatutisha sisi Junior member , kwa nini mtu asitoe mawazo yake - la muhimu ni kuchangia hoja na sio kukandia thread za mwenzako.
 
Hivi ndivyo ilivyo JF , mbona munatutisha sisi Junior member , kwa nini mtu asitoe mawazo yake - la muhimu ni kuchangia hoja na sio kukandia thread za mwenzako.

..usitishike,maneno matupu hayavunji mfupa!
 

Mkuu wangu Rev,

Maneno mazito hayo, Sitta ni mtandao haswa, ila tamaa za urais ndio zinamponza, ccm is ok maana sasa the brass ndio wenye power wakiitumia idara, muungwana ndiye aliyeko matatani maana akifanya mchezo the brass wanaweza kumuweka mkuchika 2010, otherwise, ya kwako ni great analysis!
 
Kama Marmo atajaribu kudhibiti Hoja basi itakuwa anaimaliza CCM.Maana kila Mbunge sasa anasema kila kitu mezani na hivyo itakuwa rahisi kuchambuliwa .Wakishimdwa Upinzani utaleta hoja na wakiona iko moto watairudia lakini wananchi si wajinga .Labda wafanye kwa kuzima TV na Radio lakini sasa Wapinzani watakuja kwenye Public domain kama walivyo fanya na hapo again CCM will be on defensive .
 
naomba munieleweshe wana JF wana brass ndio nani thanks
 
naomba munieleweshe wana JF wana brass ndio nani thanks


Muombe mwenye bandiko lake yeye anaweza kusema maana atakuwa anajua vyema kwa kuwa ni mwana CCM mzuri sana.
 
Mwalimu Nyerere alisema, upinzani makini utatokea CCM, je utabiri wa mambo ya nyakati unatimia?

Ikiwa wanatoana macho wenyewe huku Bungeni, je Upinzani uko wapi kujitwalia jimbo la Kiteto?

Tusipoangalia, Upinzani utakufa kifo cha "Mende" kwa CCM mpya kuzaliwa ambayo ni ya Wazawa.

Jiandaeni CCM Wazawa dhidi ya CCM Mafisadi, pia jiandaeni kusikia Ukolimbalization kwa baadhi ya majina makubwa katika hizi kashfa ili kukinusuru chama!
 

Sitta ni flip flopper call him mtandao maslahi huyu jamaa ni smart lawyer kila wakati anapima upepo unapovuma halafu ndio anafanya maamuzi, si umeona kwenye tume ya Mwakyembe alikuwa anapiga huku na huku. Lowasa amesema wazi Sitta alimnong'oneza kama ana "ushahidi" wowote wakati tume ya Mwakyembe inaendelea na kazi.

Hii yote ni ktk kuhakikisha kuwa usije ukaniona m-baya mbele ya safari incase plot ya kumng'oa EL inge fail...

Same applies wakati wa kesi ya Mengi V Malima alipoona kibao kinam-badilikia haraka aka aply "busara zangu"

Watu kama Sitta ni hatari sana wanauma na kupulizia...
 
Yanayotokea sasa hivi ni ushahidi tosha kuwa CCM kunaungua, lakini tunaoumia ni sisi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…