Elections 2010 CCM rafu mpaka kwenye mabango

Elections 2010 CCM rafu mpaka kwenye mabango

Fidel80

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2008
Posts
21,947
Reaction score
4,470
1.JPG



Wameona haitoshi wameanza kufunika mabango ya wapinzani, wao wakifanyiwa mchezo huu si watasema wapinzani wameanza matusi na uhuni. Hapo bango la mgombea wa CUF likiwa limefunikwa na la CCM, sijui wao ni zaidi na wana haki kuliko wengine?
 
Ccm=uruguay v/s paraguay...kiatu kiatu mwanzo mwisho...rafu mwaka huu tutaziona hata ambazo hazitarajiwi kama forward wa timu ya mpira wa miguu kubaki na kipa wa timu pinzani anapoamua kumkata ngwala/mtama/buti kipa huyo na anapewa red card badala ya foward kufunga bao....gemu ndo linaanza hilooo
 
yaani huu uchaguzi wa mwaka huu una vijimambo haswa.
 
Alafu viongozi wao utawasikia wapinzani ndo wenye fujo na vurugu kuna haki hapa kweli?
 
HAhahahaahndo ya CUF ana CCM mpwa hapo wana"du" kibango bango
 
Uchelewi kusikia yule katibu mkuu wao anaita press conference kuzungumzia hilo swala:mad2:
 
Aaaa aaaaa, hawa hawaijui CUF. Nawashauri watoe tangazo kama hawa wavulana wa CUF hawajafanya mambo yao
 
Back
Top Bottom