Ccm=uruguay v/s paraguay...kiatu kiatu mwanzo mwisho...rafu mwaka huu tutaziona hata ambazo hazitarajiwi kama forward wa timu ya mpira wa miguu kubaki na kipa wa timu pinzani anapoamua kumkata ngwala/mtama/buti kipa huyo na anapewa red card badala ya foward kufunga bao....gemu ndo linaanza hilooo