PISTO LERO
JF-Expert Member
- Mar 8, 2011
- 2,819
- 1,455
Chama cha mapinduzi ccm kimedai kuwa rasimu ya katiba mpya inatakiwa itoke matoleo matatu na kuitaka tume ya kurekebisha katiba kujitokeza na kuwaeleza wananchi juu ya hilo.
Wanajamvi walioisona rarimu hiyo tunaomba ufafanuzi isijekuwa ni sarakasi za ccm kutaka kuiteka rasimu hiyo.
Wanajamvi walioisona rarimu hiyo tunaomba ufafanuzi isijekuwa ni sarakasi za ccm kutaka kuiteka rasimu hiyo.