CCM rudi kwenye misingi, vinginevyo hatuna Tanzania miaka ya mbeleni

CCM rudi kwenye misingi, vinginevyo hatuna Tanzania miaka ya mbeleni

Wimbo

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2012
Posts
866
Reaction score
625
Zanzibar katika mambo yake yote wanzungumzia kuhusu Zanzibar na siyoTanzania bado kuna element ya kufanya mambo yao kama Zanzibar na siyo Tanzania na viongozi wengi wanatamani muungano uendelee ili uwawezeshe kufika mahali ambapo wanataka Zanziber ifike.

Muungano huuu meshikiliwa na CCM nachelea kusema baada ya CCM muungano utapata misukosuko kwa maana wabara wengi hawazioni faida za muungano nje ya CCM msinishangae kwa kuwa mie pia ni mwanachama wa CCM tena mkeleketwa lakini polepole misingi ya CCM ya Nyerere na hali ya hivi sasa iko walakini.

Rushwa ya uchaguzi inakemewa kwenye mimbali na siko katika vitendo viongozi wanaochaguliwa si hasa viongozi bali fedha zao ndizo zinawabeba, zanzibar tuombeeni sana bara siku CCM ikidondoka hamtabaki salama.
 
Nitakua Rais wa Tanganyika !

Mikataba yote iliyoingiwa itavunjwa tuanze upya!!

Nimeshajiandaa,chama ni jukumu lake kuniandaa kuwa Rais wa Tanganyika!
 
Unachekesha wewe? Ukitaka ujue nguvu ya Tanganyika atokee rais wa zanzibar aseme suu! Navunja muungano ameisha
 
Zanzibar katika mambo yake yote wanzungumzia kuhusu Zanzibar na siyoTanzania bado kuna element ya kufanya mambo yao kama Zanzibar na siyo Tanzania na viongozi wengi wanatamani muungano uendelee ili uwawezeshe kufika mahali ambapo wanataka Zanziber ifike.

Muungano huuu meshikiliwa na CCM nachelea kusema baada ya CCM muungano utapata misukosuko kwa maana wabara wengi hawazioni faida za muungano nje ya CCM msinishangae kwa kuwa mie pia ni mwanachama wa CCM tena mkeleketwa lakini polepole misingi ya CCM ya Nyerere na hali ya hivi sasa iko walakini.

Rushwa ya uchaguzi inakemewa kwenye mimbali na siko katika vitendo viongozi wanaochaguliwa si hasa viongozi bali fedha zao ndizo zinawabeba, zanzibar tuombeeni sana bara siku CCM ikidondoka hamtabaki salama.
Hakuna kitu kinaitwa tanzania bara, sema TANGANYIKA

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom