Unajuaje hawako ndani, mimi si mwanaCCM lakini nililetewa kadi nyumbani Jumamosi nikaambiwa kesho yake nikapige kura.huu ndio wakati mzuri wa kutafuta mbinu za kupenya ndani ya CCM na kuivunja kabisa, nadhani mara nyingi upinzani huwa unajisahau na unabakia kuwa pembeni kutazama mtafaruku bila kuweka fitna
Unajuaje hawako ndani, mimi si mwanaCCM lakini nililetewa kadi nyumbani Jumamosi nikaambiwa kesho yake nikapige kura.