Kwa Tume hii iliyojaa wapumbavu?Mungu alijalie taifa letu uchaguzi uwe huru na wa haki
Suala la haki na huru siyo la kuomba tena. Ndiyo maana chopa imekodiwa uwezekana na kutenda yale ya Serikali za Mitaa hayapo tena. Mwamuzi ni sanduku tu.Mungu alijalie taifa letu uchaguzi uwe huru na wa haki
Chopa ya kushindilia ushindi. Lissu hawezi kuwa Rais full stop 🛑CCM tulimpamba mzee sana kuanzia bungeni na nje ya bunge, tukaenda mbali na kusema kuwa hahitaji kampeni 2020 bora hata uchaguzi usifanyike ili apite bila kupingwa, hizi kauli za kinafki ni za kumhujumu mgombea wetu kuanzia leo iwe mwisho. Kama kweli hatukuhitaji kampeni wala uchaguzi huo CHOPA ni ya nini? Gharama zote za Chopa za nini?
Natoa wito kwa wanaccm wote, tuache unafki wa kumpamba mzee wetu wakati tunajua kuwa hali ni ngumu na uwezekano wa kuzidiwa ni mkubwa sana. Tunamdanganya mzee wetu kuwa mambo ni shwari kwa manufaa ya nani? Tukishindwa wa kwanza kupata hasara ni nani kama siyo mimi na wewe?
Kwa bahati mbaya sana chama chetu makao makuu kwenye uongozi timu nzima ya kampeni ni wageni wa siasa za nchi hii, Dr Bashiru na Polepole wameingia kwenye siasa juzi juzi. Hapa ukimtoa mzee Mangula wengine wote waliobaki ni wa kuja watupu na ndio wanaokigharimu chama hawa. Sitaki kuwa mnafki huu ndio ukweli acha niseme tu.
Nipo kwenye timu ya kampeni ndiyo na tunatazamana hapa wacha niseme ukweli mwenye kununa anune, mkiambiwa ukweli mnakua wakali.
Unadhani CCM ni kama saccos yako iliyo mfukoni mwa mtu mmoja. CCM ni system.Upatikanaji wa maji, kipindi cha JPM umeboreka zaidi kuliko awamu yoyote ya ccm.Wanatumia mpaka mashangingi ya Bei mbaya wakati wameshindwa kusambaza hata maji.
View attachment 1577050View attachment 1577051View attachment 1577052
Wapewe bongo movie wazunguke naoMakamu wa rais na waziri mkuu hawasikiki kabisa.
Yaani Devota Minja na Mkosamali wanakusanya watu kuliko Makamu wa Rais na Waziri Mkuu .... halafu bado kuna watu wanadai CCM inashambulia kutoka kila upande.Makamu wa rais na waziri mkuu hawasikiki kabisa.
Hili Jambo ccm ndo wameloose zaidi tuliwaonya awakusikia walidhani kumiliki dola ndiko kumiliki akili za watu.Alifanya kosa kubwa sana la kiufundi kuzuia mikutano ya kisiasa
Tembea uone vijijini au sababu unakunywa maji ya chupaUnadhani CCM ni kama saccos yako iliyo mfukoni mwa mtu mmoja. CCM ni system.Upatikanaji wa maji, kipindi cha JPM umeboreka zaidi kuliko awamu yoyote ya ccm.
Walimfeed uongo yaani habari azipendazo ili wampige pesa,hapa bado kusini wanataka majibu ya korosho zao alizichukua kibabe kakaa nazo miaka 3 eti anawarudishia eti zimesinyaa,si angewaachia wakauze hata msumbiji.a.k.a Pumzi imekata. Unajua walijiaminisha sana kwamba mzee anapendwa, lakini hali halisi FIELD ikaonesha upepo sio kabisa
Mwamuzi Ni mwananchi na sio tumeKwa Tume hii iliyojaa wapumbavu?
Na kama haitoshi, kwenye korosho kamtuma Samiah Suluhu, yeye kakwepa.Walimfeed uongo yaani habari azipendazo ili wampige pesa,hapa bado kusini wanataka majibu ya korosho zao alizichukua kibabe kakaa nazo miaka 3 eti anawarudishia eti zimesinyaa,si angewaachia wakauze hata msumbiji.
Ujuaji mwingi kaburi.
Ccm mnapigwa mbele nyuma tuliwaambia msizuie mikutano ya siasa,baada ya kusikia yenu 5 yrs mkitamba hamna jipya zaidi ya sgr,ndege, flyover,huku wapinzani wakitema checheUnadhani CCM ni kama saccos yako iliyo mfukoni mwa mtu mmoja. CCM ni system.Upatikanaji wa maji, kipindi cha JPM umeboreka zaidi kuliko awamu yoyote ya ccm.
Hata mzee wa msoga ili asawazishe Mambo lkn wapiNa kama haitoshi, kwenye korosho kamtuma Samiah Suluhu, yeye kakwepa.
Sio chopa tu wanahitaji marais wa nchi jirani waje kumsaidia magu la sivyo mwaka huu.....CCM tulimpamba mzee sana kuanzia bungeni na nje ya bunge, tukaenda mbali na kusema kuwa hahitaji kampeni 2020 bora hata uchaguzi usifanyike ili apite bila kupingwa, hizi kauli za kinafki ni za kumhujumu mgombea wetu kuanzia leo iwe mwisho. Kama kweli hatukuhitaji kampeni wala uchaguzi huo CHOPA ni ya nini? Gharama zote za Chopa za nini?
Natoa wito kwa wanaccm wote, tuache unafki wa kumpamba mzee wetu wakati tunajua kuwa hali ni ngumu na uwezekano wa kuzidiwa ni mkubwa sana. Tunamdanganya mzee wetu kuwa mambo ni shwari kwa manufaa ya nani? Tukishindwa wa kwanza kupata hasara ni nani kama siyo mimi na wewe?
Kwa bahati mbaya sana chama chetu makao makuu kwenye uongozi timu nzima ya kampeni ni wageni wa siasa za nchi hii, Dr Bashiru na Polepole wameingia kwenye siasa juzi juzi. Hapa ukimtoa mzee Mangula wengine wote waliobaki ni wa kuja watupu na ndio wanaokigharimu chama hawa. Sitaki kuwa mnafki huu ndio ukweli acha niseme tu.
Nipo kwenye timu ya kampeni ndiyo na tunatazamana hapa wacha niseme ukweli mwenye kununa anune, mkiambiwa ukweli mnakua wakali.
Tume imeengua wagombea hao wananchi wamefanyaje ?Mwamuzi Ni mwananchi na sio tume