Uchaguzi 2020 CCM si tulisema Magu hahitaji kampeni 2020? Chopa ya nini?

MAJI YA SHINGO
 
Pole Sana kada umeandika kwa uchungu ,lakin andiko lako Lina mantiki ,hata sie tusio wanachama tulijaribu kushauri ,unafiki sio kitu kizuri,kweli uchaguzi mkuu hua ni mgum ila wa Sasa nimgum Sana kwa ccm so kweli Wenda tatizo ikawa no Kati uliyoyasema ,
 
Hilo helicopter lenyewe litaanguka muda sio muda.
 
Hayo ni maneno ya mtu aliyezidiwa KETE na sasa anatafuta njia ya KUJIFARIJI. Nani alisema hayo maneno kama siya kuokoteleza kutoka kwenye vijiwe visivyo RASMI. Kuna uchaguzi gani watu hawafanyi kampeni?Labda wewe ni kijana wa juzi kwani hata enzi za Chama kimoja, kampeni kwa mgombea aliyekuwa hana mpinzani, kampeni zilifanyika kwa nia ya kumthibitisha huyo aliyekuwa hana mpinzani. Huo ni utaratibu wa chaguzi zote duniani.
 
Gharama hizo wazilipe waliomshauri vibaya,kinafiki.
 
Halafu mleta lichadema kutwa linajifanya CCM ujue unaehuka wahi hospital ya vichaa mirembe una kichaa huo ugonjwa kitaalamu mwenye ukichaa huo anakuwa na duo personality

[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Kutembelea wakwavi
 
Duh! Punguzeni hasira wana-CCM wenzangu MAHANJU na GENTAMYCINE . Tukisapoti chama hata Kama mna maoni tofauti. Tujenge chama ili tushinde. Tusiwape faida wapinzani kwa kuanika mambo hadharani. Chama kinatuhitaji kuliko wakati mwingine wowote Sasa.

Nimezaliwa kuwa Mkweli na kutokuwa Mnafiki wala Muoga katika Jambo lolote lile na ninamuomba Mungu niendelee kuwa na hizi hizi tabia sana tu.
 
Mlikimbilia kuwanunua wabunge na madiwani badala ya kuongeza mapenzi kwa mtaji wa wanachama. Sasa waambieni wabunge na madiwani walio unga juhudi mkono wawapigie kura. Nyambaaaafuuu
 
cha kushangaza mpaka jumapili utakuta anakomaa na kampeni. ila waliomdanganya upinzani umekufa walimuingiza chaka sana
 
cha kushangaza mpaka jumapili utakuta anakomaa na kampeni. ila waliomdanganya upinzani umekufa walimuingiza chaka sana
Kwani wengine hawafanyi hizo kampeni Jumapili? NEC wametoa siku 60 za kampeni lazima zitumike EFFECTIVELY. Kwani upinzani HAUJAFA? Au mnajiaminisha kuwa upo kwa uwepo wa Show Master?
 
Ok
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…