CCM siyo tu inazimiliki Simba na Yanga bali inavimiliki hata vyama vya Siasa, yaani CCM ni Chama Dola!

CCM siyo tu inazimiliki Simba na Yanga bali inavimiliki hata vyama vya Siasa, yaani CCM ni Chama Dola!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Wengi walishangaa Shujaa Magufuli kuwavalisha Kofia za CCM Diamond na Kiba

Wengine wakashangaa Mpendwa Wetu Mh Rais Samia kuhudhuria Birthday party ya Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Nyasa mh Joseph Mbilinyi aka Sugu

Aidha walishangaa CCM kuwaandalia BAWACHA mkutano Mkuu pale mkoani Kilimanjaro na Mgeni Rasmi akawa mwenyekiti wa CCM Mpendwa Wetu Mh Rais Samia aliyeambatana na Freeman Mbowe na J J Mnyika

Jana wengine wameshangaa Simba SC kuwa Wasemaji wa CCM pale kwenye sikukuu ya UVCCM

Kiukweli CCM ni chama Kikubwa sana kinachomiliki vyote

Nawatakia Dominica Njema 😄
 
Wengi walishangaa Shujaa Magufuli kuwavalisha Kofia za CCM Diamond na Kiba

Wengine wakashangaa Mpendwa Wetu Mh Rais Samia kuhudhuria Birthday party ya Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Nyasa mh Joseph Mbilinyi aka Sugu

Jana wengine wameshangaa Simba SC kuwa Wasemaji wa CCM pale kwenye sikukuu ya UVCCM

Kiukweli CCM ni chama Kikubwa sana kinachomiliki vyote

Nawatakia Dominica Njema 😄
CCM ni genge la kigaidi linalotumia mabavu ya vyombo vya dola kuendelea kutawala. CCM ni kama bokoharam tu.
 
Wengi walishangaa Shujaa Magufuli kuwavalisha Kofia za CCM Diamond na Kiba

Wengine wakashangaa Mpendwa Wetu Mh Rais Samia kuhudhuria Birthday party ya Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Nyasa mh Joseph Mbilinyi aka Sugu

Jana wengine wameshangaa Simba SC kuwa Wasemaji wa CCM pale kwenye sikukuu ya UVCCM

Kiukweli CCM ni chama Kikubwa sana kinachomiliki vyote

Nawatakia Dominica Njema 😄
Huo ni ukweli usiopingika.
 
Kwa kuwa njaa haina mwenyewe inawezekana.
 
Usicheze ukiwa ndani ya boti ndogo (mtumbwi) baharini.

( Never dance in a small boat . )
 
Back
Top Bottom