Viti vya HIACE vimepata matumizi mbadala, what's wrong with that au ulitaka vitupwe. Haya ni matumizi mazuri ya malighafi za ndani, akina mwaisa mmejiongeza mko juu.Usije ukahisi labda uko Kwenye daladala za Mbagala la hasha,hapa ni Sokoine stadium Mbeya.
Ccm mkoa wa Mbeya ndiyo vinini Sasa hivi mlivyotuwekea Sasa hapa .mnatuaibisha Wanyakyusa.
Ukitaka ugomvi uliza gharama iliyotuma hapo.Kawaida yao kuzingua hao
Mimi naona tukushangae wewe kwa kuwashangaa ccm kufanya mambo kama hayo. CCM hayo ndiyo mambo wanayoweza.Usije ukahisi labda uko Kwenye daladala za Mbagala la hasha,hapa ni Sokoine stadium Mbeya.
Ccm mkoa wa Mbeya ndiyo vinini Sasa hivi mlivyotuwekea Sasa hapa .mnatuaibisha Wanyakyusa.
Itakuwa wameving'oa kwenye coaster iliyopata ajali au wameviazima kutoka kwenye hiace za soko MatolaUsije ukahisi labda uko Kwenye daladala za Mbagala la hasha,hapa ni Sokoine stadium Mbeya.
Ccm mkoa wa Mbeya ndiyo vinini Sasa hivi mlivyotuwekea Sasa hapa .mnatuaibisha Wanyakyusa.
Umezinduka baada ya kuzimia kijili kujifunga๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐๐๐ kweli ubaya ubwela..
Acha basi...๐๐๐Umezinduka baada ya kuzimia kijili kujifunga๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Na kesho hapo mkilegeza miguu hiyo mnadondosha point nyingine tena
Aya nakaa kimyaaaAcha basi...๐๐๐
Usije ukahisi labda uko Kwenye daladala za Mbagala la hasha, hapa ni Sokoine Stadium Mbeya.
CCM mkoa wa Mbeya ndiyo vinini Sasa hivi mlivyotuwekea Sasa hapa .mnatuaibisha Wanyakyusa.
View attachment 3131689mh! Kigiri atakaa hapa