Uchaguzi 2020 CCM Tabora hali tete, kampeni za CHADEMA zawachanganya, Waanza kuwadanganya wazee kwa vitambulisho vya matibabu ya bure, wazee wastuka!

Uchaguzi 2020 CCM Tabora hali tete, kampeni za CHADEMA zawachanganya, Waanza kuwadanganya wazee kwa vitambulisho vya matibabu ya bure, wazee wastuka!

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Utukufu wa Mungu ni wa ajabu sana ! hatimaye amejibu kikamilifu maombi ya Watanzania baada ya kuwaamsha Wazee wa Tabora waliokuwa kwenye usingizi wa pono, ambao sasa wameapa kuiteketeza kabisa ccm bila huruma kwa kukataa hongo ya matibabu ya bure iliyoletwa kwa lengo la kuwarubuni ili waichague tena CCM, chama kilichoshindwa kwa miaka 60 kuboresha maisha ya Wananchi .

Ushahidi huu hapa.


CCM Tabora mnajinyeanyea! _joy__joy__joy__joy__joy__joy_ . Kusikia mwamba anatimba Mboka Manye...jpg
 
Utukufu wa Mungu ni wa ajabu sana ! hatimaye amejibu kikamilifu maombi ya Watanzania baada ya kuwaamsha Wazee wa Tabora waliokuwa kwenye usingizi wa pono , ambao sasa wameapa kuiteketeza kabisa ccm bila huruma kwa kukataa hongo ya matibabu ya bure iliyoletwa kwa lengo la kuwarubuni ili waichague tena ccm , chama kilichoshindwa kwa miaka 60 kuboresha maisha ya Wananchi .

Ushahidi huu hapa .

View attachment 1602089
Karibuni tabora!
Baada ya kuzungumza na wananchi tunaweza kujumuika pamoja Hapa Whatsapp tupige bia mbili tatu, uchaguzi huu chadema imeshamaliza kazi, john hana pumzi tena, amebaki kubuni mbinu bora za kuchakachua matokeo ili apore ushindi kama alivyopora wa lowassa 2015
 
Karibuni tabora!
Baada ya kuzungumza na wananchi tunaweza kujumuika pamoja Hapa Whatsapp tupige bia mbili tatu, uchaguzi huu chadema imeshamaliza kazi, john hana pumzi tena, amebaki kubuni mbinu bora za kuchakachua matokeo ili apore ushindi kama alivyopora wa lowassa 2015
Tukutane pale Oksijeni Mkuu Tabora mmetisha....
 
Utukufu wa Mungu ni wa ajabu sana ! hatimaye amejibu kikamilifu maombi ya Watanzania baada ya kuwaamsha Wazee wa Tabora waliokuwa kwenye usingizi wa pono , ambao sasa wameapa kuiteketeza kabisa ccm bila huruma kwa kukataa hongo ya matibabu ya bure iliyoletwa kwa lengo la kuwarubuni ili waichague tena ccm , chama kilichoshindwa kwa miaka 60 kuboresha maisha ya Wananchi .

Ushahidi huu hapa .

View attachment 1602089
Tutaona kila rangi[emoji3090][emoji3090][emoji3090][emoji3090][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1536][emoji1536][emoji1536][emoji1536][emoji818][emoji818][emoji818][emoji818][emoji818][emoji617][emoji617][emoji617][emoji777][emoji777][emoji777][emoji777]
 
Tutaona kila rangi[emoji3090][emoji3090][emoji3090][emoji3090][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1536][emoji1536][emoji1536][emoji1536][emoji818][emoji818][emoji818][emoji818][emoji818][emoji617][emoji617][emoji617][emoji777][emoji777][emoji777][emoji777]
Sisi tutaendelea kuwaletea uhondo kila tunavyobarikiwa
 
Mungu kashuka Tanzania ...ukimona LISSU ujuwe sauti ya Mungu inaongea....
Acha mambo yako wewe Mungu kashuka Tanzania kwa kutuepusha na COVID 19 na hii inatokana na kuongozwa na Kiongozi mwenye hofu ya Mungu na mcha Mungu na si mwingine ni Mzalendo wa kweli JPM.

October 28th tutampa kura kwa upendo na wivu Mkubwa shujaa huyu JPM.

JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
Utukufu wa Mungu ni wa ajabu sana ! hatimaye amejibu kikamilifu maombi ya Watanzania baada ya kuwaamsha Wazee wa Tabora waliokuwa kwenye usingizi wa pono , ambao sasa wameapa kuiteketeza kabisa ccm bila huruma kwa kukataa hongo ya matibabu ya bure iliyoletwa kwa lengo la kuwarubuni ili waichague tena ccm , chama kilichoshindwa kwa miaka 60 kuboresha maisha ya Wananchi .

Ushahidi huu hapa .

View attachment 1602089
Mbona hata mkutano wenu hapo tabora pia haukua ma amsha amsha kama kungine?
Tundu anaongea wanaoitikia hawazidi 5 wanamsililiza tu na kumchora?
 
Back
Top Bottom