nokwenumuya
JF-Expert Member
- Jun 29, 2019
- 820
- 2,896
Mtia nia wa Ubunge jimbo la Tarime mjini, Ndugu Dittu Manko muda huu yuko Kata ya Kenyamanyori, amezungumza na wajumbe na kuwagawia rushwa ya 10,000 kwa kila mjumbe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtia nia wa ubunge jimbo la Tarime mjini, Ndugu Dittu Manko muda huu yuko kata ya Kenyamanyori, amezungumza na wajumbe na kuwagawia rushwa ya 10,000 kwa kila mjumbe.
Sasa hiyo ni rushwa au posho ya kikao. Mtu kawakusanya watu wamskilize, kawapoza na posho ya maji kwa kuwa wameacha shughuli zao. We unasema ni rushwaMtia nia wa Ubunge jimbo la Tarime mjini, Ndugu Dittu Manko muda huu yuko Kata ya Kenyamanyori, amezungumza na wajumbe na kuwagawia rushwa ya 10,000 kwa kila mjumbe.
Huyu dogo kumbe aliishia kuwa nzi wa kijani,St Mathew ilizalisha nzi wa kijani kumbeMtia nia wa Ubunge jimbo la Tarime mjini, Ndugu Dittu Manko muda huu yuko Kata ya Kenyamanyori, amezungumza na wajumbe na kuwagawia rushwa ya 10,000 kwa kila mjumbe.
alipata kura 1 ya shemeji yake.Matokeo?