CCM they used the word "Wanyonge" to deceive ignorant

CCM they used the word "Wanyonge" to deceive ignorant

owomkyalo,

He used "wanyonge" from the first day he started his 2015 campaign! So, you can't say that he has lost popularity and now he is using the word to gain it. The matter of fact is that - he has proved indeed to work and care for the "wanyonge".
 
To be honest Hon JP , has arledy lost influence, so he used the Word " "Wanyonge" in order to find sympathetic .

Fedha za kugharamia mikutano mikubwa ya kifahari Dodoma na kuwaruhusu wajumbe wote zaidi ya elfu mbili waondoke na chupa za wine zimetoka wapi? Ni za chama kweli? Sio pesa za hawa wanaoitwa wanyonge kwa Kodi zao wakati wanyonge wenyewe wanakimbizana na tumbili/ngedere mashambani kunyang'anyana ndizi? Tafadhali tumuogope Mungu. Tuache kuwadhalilisha wananchi kwa kigezo cha kuwatetea eti wanyonge wakati unyonge wao ndiyo shibe yako kisiasa na kiuchumi
 
owomkyalo,

Arledy (Already), sympathetic (sympathy), he used (has been using).

Those in the brackets are proper words you could use.
 
Wanyonge wanalipa milioni moja na laki moja kuchukua fomu za kugombania u Bunge.
 
Back
Top Bottom