CCM tunapoitwa Chama cha Majambazi tuone aibu tujisafishe, Utetezi wa majambazi si sehemu yetu

CCM tunapoitwa Chama cha Majambazi tuone aibu tujisafishe, Utetezi wa majambazi si sehemu yetu

MAHANJU

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2014
Posts
5,252
Reaction score
8,003
Kama ambavyo wapinzanzani wetu wamekua wakitupachika kina la Chama cha Majambazi kutokana viashiria vya matendo ya wanaccm wachache waliothaminiwa wakapewa nafasi serikali na chama lakini wanaendekeza tamaa, Wizi, unyang'anyi, utapeli, Ubabe, uonevu na uporaji wa mali za watu. Hii siyo misingi ya Chama cha Mapinduzi aliyotuachia mwalimu Nyerere.

Nachukia na kushangazwa kujitokeza na kushamiri kwa magenge ndani ya Chama ambayo kazi yao ni kutetea wezi, Waporaji wa kutumia silaha, waonevu, Wahujumu uchumi na wabakaji kwa kivuli cha uongozi ndani ya serikali. Hii ni tabia mbaya na ya kukemewa, tusiwape wapinzani wetu kutuita chama cha Majambazi kwa kutetea Maharamia wa aina hii ambao wanaotuchafulia chama na serikali. Ni Upumbavu na uhayawani kutetea Majambazi ndani ya chama na kamwe siwezi kua sehemu ya upuuzi huo.

CCM TUJISAFISHE BADALA YA KUJICHAFUA WENYEWE
Hatua zinazochukuliwa na serikali dhidi ya vitendo viuvo bila kutazama uso wa mtu ndio hatua pekee ya kukisafisha Chama na serikali. Serikali iliyopo madarakani ni ya CCM na siyo ya Chama kiingine.Kwani wapinzani wakifurahia hatua tunazozichukua si ndiyo namna pekee ya kuwaziba midomo wasiongee? Tunataka waendelee kutunyooshea vidole na kutuita chama cha Majambazi?

Nashauri tukae kimya tusitetee magenge ya Wanyang'anyi ndani ya chama na serikali. Rais alishasema tusahau yaliyopita tugange yajayo, sasa ninyi kikundi cha wahuni wachache mnataka kuturudisha tulipofika?

RAIS NA MWENYEKITI WA CHAMA TAIFA CHUKUA HATUA
Nitoe rai kwa Mhe Mwenyekiti wa chama taifa na Rais wa Jamhuri wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Chukua hatua kwa wote wanaokichafua chama chetu na serikali yetu. Sisi wazalendo wa kweli na wana CCM safi tutaendelea kukutetea na kukuunga mkono. Tumbua majambazi ndani ya chama na serikali, siyo kwa sababu Wewe ni Mama ndiyo maana wanaongea ongea tu, chukua hatua bila kuangalia uso wa mtu na wewe ni mchamungu ulisema serikali yako haitakuwa ya dhuluma.

Nimalizie kwa kusema, iwe mwanzo na mwisho kwamwanaccm kutetea wezi, si hulka na tabia yetu, tuiache serikali ifanye kazi yake kwani ina macho mengi.
 
Halafu leo hii anatokea mwenyekiti wa chama cha upinzani, kama vile NCCR anaongea hadharani kulaumu utawala wa awamu ya 5 na kusifia utawala wa awamu ya 6!!!!
hakika huu ni unafiki na uzandiki wa kiwango cha PHD!
huwa najiuliza hivi, hawa wana siasa wana mkejeli nani haswa?!
utawala wa awamu ya 6 au wananchi?!
 
Kama ambavyo wapinzanzani wetu wamekua wakitupachika kina la Chama cha Majambazi kutokana viashiria vya matendo ya wanaccm wachache waliothaminiwa wakapewa nafasi serikali na chama lakini wanaendekeza tamaa, Wizi, unyang'anyi, utapeli, Ubabe, uonevu na uporaji wa mali za watu. Hii siyo misingi ya Chama cha Mapinduzi aliyotuachia mwalimu Nyerere.

Nachukia na kushangazwa kujitokeza na kushamiri kwa magenge ndani ya Chama ambayo kazi yao ni kutetea wezi, Waporaji wa kutumia silaha, waonevu, Wahujumu uchumi na wabakaji kwa kivuli cha uongozi ndani ya serikali. Hii ni tabia mbaya na ya kukemewa, tusiwape wapinzani wetu kutuita chama cha Majambazi kwa kutetea Maharamia wa aina hii ambao wanaotuchafulia chama na serikali. Ni Upumbavu na uhayawani kutetea Majambazi ndani ya chama na kamwe siwezi kua sehemu ya upuuzi huo.

CCM TUJISAFISHE BADALA YA KUJICHAFUA WENYEWE
Hatua zinazochukuliwa na serikali dhidi ya vitendo viuvo bila kutazama uso wa mtu ndio hatua pekee ya kukisafisha Chama na serikali. Serikali iliyopo madarakani ni ya CCM na siyo ya Chama kiingine.Kwani wapinzani wakifurahia hatua tunazozichukua si ndiyo namna pekee ya kuwaziba midomo wasiongee? Tunataka waendelee kutunyooshea vidole na kutuita chama cha Majambazi?

Nashauri tukae kimya tusitetee magenge ya Wanyang'anyi ndani ya chama na serikali. Rais alishasema tusahau yaliyopita tugange yajayo, sasa ninyi kikundi cha wahuni wachache mnataka kuturudisha tulipofika?

RAIS NA MWENYEKITI WA CHAMA TAIFA CHUKUA HATUA
Nitoe rai kwa Mhe Mwenyekiti wa chama taifa na Rais wa Jamhuri wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Chukua hatua kwa wote wanaokichafua chama chetu na serikali yetu. Sisi wazalendo wa kweli na wana CCM safi tutaendelea kukutetea na kukuunga mkono. Tumbua majambazi ndani ya chama na serikali, siyo kwa sababu Wewe ni Mama ndiyo maana wanaongea ongea tu, chukua hatua bila kuangalia uso wa mtu na wewe ni mchamungu ulisema serikali yako haitakuwa ya dhuluma.

Nimalizie kwa kusema, iwe mwanzo na mwisho kwamwanaccm kutetea wezi, si hulka na tabia yetu, tuiache serikali ifanye kazi yake kwani ina macho mengi.
Kuna siku hiki chama kitakwenda mahabusu bila dhamana kama Sabaya na mtajua kweli kila jambo na wakati wake.
 
Ndio walijaa ndani ya chama,utawatengamisha vipi na maovu hao ccm?wanajuana ndio mana wanateteana
 
Nawasihi mbadilishe jina hiyo M huko mwisho imewakalia vibaya sana hata ile C=Choo M=Majambazi majizi majangili yaani ni mengi nyota imevurugika badilisheni la mtakufa mmoja mmoja kama ilivyoanza
 
Kama ambavyo wapinzanzani wetu wamekua wakitupachika kina la Chama cha Majambazi kutokana viashiria vya matendo ya wanaccm wachache waliothaminiwa wakapewa nafasi serikali na chama lakini wanaendekeza tamaa, Wizi, unyang'anyi, utapeli, Ubabe, uonevu na uporaji wa mali za watu. Hii siyo misingi ya Chama cha Mapinduzi aliyotuachia mwalimu Nyerere.

Nachukia na kushangazwa kujitokeza na kushamiri kwa magenge ndani ya Chama ambayo kazi yao ni kutetea wezi, Waporaji wa kutumia silaha, waonevu, Wahujumu uchumi na wabakaji kwa kivuli cha uongozi ndani ya serikali. Hii ni tabia mbaya na ya kukemewa, tusiwape wapinzani wetu kutuita chama cha Majambazi kwa kutetea Maharamia wa aina hii ambao wanaotuchafulia chama na serikali. Ni Upumbavu na uhayawani kutetea Majambazi ndani ya chama na kamwe siwezi kua sehemu ya upuuzi huo.

CCM TUJISAFISHE BADALA YA KUJICHAFUA WENYEWE
Hatua zinazochukuliwa na serikali dhidi ya vitendo viuvo bila kutazama uso wa mtu ndio hatua pekee ya kukisafisha Chama na serikali. Serikali iliyopo madarakani ni ya CCM na siyo ya Chama kiingine.Kwani wapinzani wakifurahia hatua tunazozichukua si ndiyo namna pekee ya kuwaziba midomo wasiongee? Tunataka waendelee kutunyooshea vidole na kutuita chama cha Majambazi?

Nashauri tukae kimya tusitetee magenge ya Wanyang'anyi ndani ya chama na serikali. Rais alishasema tusahau yaliyopita tugange yajayo, sasa ninyi kikundi cha wahuni wachache mnataka kuturudisha tulipofika?

RAIS NA MWENYEKITI WA CHAMA TAIFA CHUKUA HATUA
Nitoe rai kwa Mhe Mwenyekiti wa chama taifa na Rais wa Jamhuri wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Chukua hatua kwa wote wanaokichafua chama chetu na serikali yetu. Sisi wazalendo wa kweli na wana CCM safi tutaendelea kukutetea na kukuunga mkono. Tumbua majambazi ndani ya chama na serikali, siyo kwa sababu Wewe ni Mama ndiyo maana wanaongea ongea tu, chukua hatua bila kuangalia uso wa mtu na wewe ni mchamungu ulisema serikali yako haitakuwa ya dhuluma.

Nimalizie kwa kusema, iwe mwanzo na mwisho kwamwanaccm kutetea wezi, si hulka na tabia yetu, tuiache serikali ifanye kazi yake kwani ina macho mengi.
Hawa watakuelewa kweli?
MenukaJr
Elitwege
Wakudadavuwa
magu2016
jingalao
sweettablet
Crimea
Magonjwa Mtambuka
 
Halafu leo hii anatokea mwenyekiti wa chama cha upinzani, kama vile NCCR anaongea hadharani kulaumu utawala wa awamu ya 5 na kusifia utawala wa awamu ya 6!!!!
hakika huu ni unafiki na uzandiki wa kiwango cha PHD!
huwa najiuliza hivi, hawa wana siasa wana mkejeli nani haswa?!
utawala wa awamu ya 6 au wananchi?!
Mwenzako anajaribu kukisafisha chama chenu kutokana na madhira ya awamu ya 5, chama kuitwa chama cha majambazi, na sasa awamu ya 6 inaweka mambo vizuri, wewe huku unasiliba matope.

Cc MAHANJU
 
Sabaya anachangiwa fedha za mawakili na majambazi wenzie.

CCM yamejaa mafisi.
JamiiForums-460750266.jpeg
 
Kama ambavyo wapinzanzani wetu wamekua wakitupachika kina la Chama cha Majambazi kutokana viashiria vya matendo ya wanaccm wachache waliothaminiwa wakapewa nafasi serikali na chama lakini wanaendekeza tamaa, Wizi, unyang'anyi, utapeli, Ubabe, uonevu na uporaji wa mali za watu. Hii siyo misingi ya Chama cha Mapinduzi aliyotuachia mwalimu Nyerere.

Nachukia na kushangazwa kujitokeza na kushamiri kwa magenge ndani ya Chama ambayo kazi yao ni kutetea wezi, Waporaji wa kutumia silaha, waonevu, Wahujumu uchumi na wabakaji kwa kivuli cha uongozi ndani ya serikali. Hii ni tabia mbaya na ya kukemewa, tusiwape wapinzani wetu kutuita chama cha Majambazi kwa kutetea Maharamia wa aina hii ambao wanaotuchafulia chama na serikali. Ni Upumbavu na uhayawani kutetea Majambazi ndani ya chama na kamwe siwezi kua sehemu ya upuuzi huo.

CCM TUJISAFISHE BADALA YA KUJICHAFUA WENYEWE
Hatua zinazochukuliwa na serikali dhidi ya vitendo viuvo bila kutazama uso wa mtu ndio hatua pekee ya kukisafisha Chama na serikali. Serikali iliyopo madarakani ni ya CCM na siyo ya Chama kiingine.Kwani wapinzani wakifurahia hatua tunazozichukua si ndiyo namna pekee ya kuwaziba midomo wasiongee? Tunataka waendelee kutunyooshea vidole na kutuita chama cha Majambazi?

Nashauri tukae kimya tusitetee magenge ya Wanyang'anyi ndani ya chama na serikali. Rais alishasema tusahau yaliyopita tugange yajayo, sasa ninyi kikundi cha wahuni wachache mnataka kuturudisha tulipofika?

RAIS NA MWENYEKITI WA CHAMA TAIFA CHUKUA HATUA
Nitoe rai kwa Mhe Mwenyekiti wa chama taifa na Rais wa Jamhuri wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Chukua hatua kwa wote wanaokichafua chama chetu na serikali yetu. Sisi wazalendo wa kweli na wana CCM safi tutaendelea kukutetea na kukuunga mkono. Tumbua majambazi ndani ya chama na serikali, siyo kwa sababu Wewe ni Mama ndiyo maana wanaongea ongea tu, chukua hatua bila kuangalia uso wa mtu na wewe ni mchamungu ulisema serikali yako haitakuwa ya dhuluma.

Nimalizie kwa kusema, iwe mwanzo na mwisho kwamwanaccm kutetea wezi, si hulka na tabia yetu, tuiache serikali ifanye kazi yake kwani ina macho mengi.
Kwa kumbukumbu zilizopo wewe sio CCM.

Huwezi kuanza kulipa kisasi kwa kiongozi wa chini kwa kisingizio kuna watu wamemlalamikia kutendewa uovu wakati wewe ndiye ulikuwa msimamizi.

Kuna 'Conflict of Interest' kwenye suala la aliyekuwa mkuu wa wilaya ya Hai

Rejea kwenye uong'oaji wa mataruma ya reli ambapo mkuu wa wilaya alidai wafafanyabiashara walihusika wakati mkuu wa polisi mkoa husika alikanusha na haikuwahi kuwekwa sawa kabla, halafu leo anateuliwa kisha mtu yule yule waliyepishana kauli anamchunguza.

Makosa aliyofunguliwa huyo kijana 'LOS' yanaondoa sifa ya kiongozi mkuu wa nchi kuwepo madarakani hadi sasa, IGP, Waziri mkuu, waziri wa TAMISEMI wote wanatakiwa kuwajibika.

Kama waliogopa kukemea au kuchukua hatua basi inathibitisha jinsi wanavyotetea maslahi yao binafsi sio kuwa tayari kufanywa chochote ilimradi wamesimamia haki.

Karma is on the way to derail the regime and superimpose the alternate political party.
 
Back
Top Bottom