Mende mdudu
Senior Member
- Feb 13, 2023
- 111
- 223
Baada ya mwenyekiti wao na wafuasi wake kusema amekipambania chama nikatafakari na kujua wafuasi wa iko chama ni manyumbu
Iv kupambania maana yake katumia garama au pesa , kwa mfanya biashara mzoefu haoni hasara ku take risk ktk biashara
Uwekezaji wake katika chama wao wanaona kapambana kizungu wana ita ka invest amkeni manyumbu haja pambana bali ka-invest anakula matunda ya alicho panda.
By mkulima wa kahawa Misenyi mkoani Kagera.
Iv kupambania maana yake katumia garama au pesa , kwa mfanya biashara mzoefu haoni hasara ku take risk ktk biashara
Uwekezaji wake katika chama wao wanaona kapambana kizungu wana ita ka invest amkeni manyumbu haja pambana bali ka-invest anakula matunda ya alicho panda.
By mkulima wa kahawa Misenyi mkoani Kagera.