MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Chonde chonde wanaCCM wenzangu. Tusibweteke na anguko la kilichokuwa chama kikuu cha upinzani CHADEMA. Tukumbuke kuna uwezekano wa vyama 14 kuleta upinzani mkali kuliko uliokuwa kwa CHADEMA. Binafsi nakihofia sana UPDP ya kina Fahmi Dovutwa.
Tunachotakiwa kufurahia ni CHADEMA kutusaidia kukibomoa chama chao wenyewe kabla ya uchaguzi mkuu. Vyama 14 haviwezi kufurukuta kwa huu muda uliobaki kabla ya uchaguzi mkuu.
Ninashauri viongozi wa CCM kuweka wagombea ubunge wenye sifa na wanaohitajika na wapiga kura majimboni. Kwenye ubunge huenda kukawa na upinzani kiasi tofauti na nafasi ya Rais ambayo hadi sasa Mbowe kwa kushirikiana na wenzake wameshamsaidia Mama Samia kushinda kilaini.
Tunachotakiwa kufurahia ni CHADEMA kutusaidia kukibomoa chama chao wenyewe kabla ya uchaguzi mkuu. Vyama 14 haviwezi kufurukuta kwa huu muda uliobaki kabla ya uchaguzi mkuu.
Ninashauri viongozi wa CCM kuweka wagombea ubunge wenye sifa na wanaohitajika na wapiga kura majimboni. Kwenye ubunge huenda kukawa na upinzani kiasi tofauti na nafasi ya Rais ambayo hadi sasa Mbowe kwa kushirikiana na wenzake wameshamsaidia Mama Samia kushinda kilaini.