Pre GE2025 CCM tuwe macho na Msigwa atachafua mahusiano ya kimataifa

Pre GE2025 CCM tuwe macho na Msigwa atachafua mahusiano ya kimataifa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

tripof

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2024
Posts
829
Reaction score
1,120
Pamoja na Nape kuwa bomu bingwa wa uropokaji, Chama changu kitukufu tuwe macho na Peter Msigwa staili yake ya kuzungumza bila kupima kauli zake inaweza kukiponza chama.

Ana speed kali juzi Kawe alimlinganisha Mbowe na Kurunzinza wa Burundi kwa Udikteta bila kujua kuwa tuna urafiki wa karibu na nchi hiyo.

Huyu hana diplomasia mimi nimeanza kuingiwa na wasiwasi naye. Akina Nape tunazidi kuwaongeza,tuchuje wanaoinga kwenye chama chetu, siyo wote ni members material, wengine ni joker ni magharasha.

PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Viwanja vya Mwembetogwa Iringa mjini Mchungaji Msigwa afunguka sababu 4 za kuondoka CHADEMA
 
CCM akili nyingi sana kwenye siasa za Bongo... Hongereni
 
Ina maana angepata uwenyekiti Nyasa angefanya anayoyafanya?
Je hii si ishara kuwa ni mroho wa madaraka?
Kwanini hakuwaasa wanachadema wenzake kutoanzisha vikundi anavyovitaja kuwa hatarishi vya zoo
 
Ina maana angepata uwenyekiti Nyasa angefanya anayoyafanya?
Je hii si ishara kuwa ni mroho wa madaraka?
Kwanini hakuwaasa wanachadema wenzake kutoanzisha vikundi anavyovitaja kuwa hatarishi vya zoo
Hata mbowe ni mroho

Aachie kiti uone kama atakua yeye yule

Hao Akina Lema Hata Huko Kanda ya kaskazini waliiba kura na kumaubulu selasini vibaya sana

Yaan usiongee kabisa ishu ya Uroho maana mbowe ni kama Kinara ndg zake ni akina Museven na Lipumbafu Cc
 
ustaje ma Rais wa nchi nyingine zungumzia ys kwako. Museven anakuhusu nini waachie waganda
 
Pamoja na Nape kuwa bomu bingwa wa uropokaji, Chama changu kitukufu tuwe macho na Peter Msigwa staili yake ya kuzungumza bila kupima kauli zake inaweza kukiponza chama. Ana speed kali juzi Kawe alimlinganisha Mbowe na Kurunzinza wa Burundi kwa udikteta bila kujua kuwa tuna urafiki wa karibu na nchi hiyo.Huyu hana diplomasia mimi nimeanza kuingiwa na wasiwasi naye.Akina Nape tunazidi kuwaongeza,tuchuje wanaoinga kwenye chama chetu,siyo wote ni members material, wengine ni joker. ni magharasha.
ni vizur akapewa fursa ya kujieeleza na akatoa yote ya moyoni mwake yakaisha..
wamuache apate relief ya kutosha kabisa moyoni mwake...

kisha baada ya hapo ndipo akutane na siasa halisi za ndani ya CCM imara 🐒
 
Back
Top Bottom