Haya wadau wa CCM ughaibuni na vijimatawi vyenu uchwara mko wapi? Mbona kimyaaaa?
Wananchi bongo wameshaanza kutia akili na kubadilika na ninyi mlio ughaibuni tulitegemea ndio mtakuwa wa kwanza kubadilika kutokana na exposure mnayoipata mkiwa nje ya nchi lakini njaa zenu zinawasumbua na kuendelea kudanganya na Chama Cha Mafisadi. Huu ni mwanzo tu 2015 hamtopata hata udiwani.
Endeleeni na ujinga wenu. Muendelee na schedule ya Boksi na kujipendekeza CCM manake mtaonwa na mtapewa ukuu wa wilaya. Boksi halina ujanja, SHWAINIIII NYIE
Nakubali kuwa Kagera imetia aibu lakini haiingii akilini kwa nini Dr. Slaa ashinde Bukoba mjini lakini Lwakatare ashindwe. Hapo kuna kitu. Nadhani Biharamulo na Karagwe wataokoa jahazi lakini kuna haja ya kujipanga upya kuondoa aibu hii.Wenye akili wote wanajua kuwa hii ni haibu tupu. Walioughaibuni walio CCM either waliletwa na hao baba zao kwa pesa za umma au wnajifanya marafiki na hao watoto wa wakubwa. CCM haibu tupu. Kuna rafiki yangu nimemwambia ukweli kwamba yeye kuisupport CCM inanipa mashaka uelewa wake ukoje wakati ameshakaa ughaibuni na anajua jinsi gani nchi iliyoendelea inavyoendeshwa.
CCM HAIBU TUPU.
BUKOBA WAMENITIA HAIBU
Haya wadau wa CCM ughaibuni na vijimatawi vyenu uchwara mko wapi? Mbona kimyaaaa?
Wananchi bongo wameshaanza kutia akili na kubadilika na ninyi mlio ughaibuni tulitegemea ndio mtakuwa wa kwanza kubadilika kutokana na exposure mnayoipata mkiwa nje ya nchi lakini njaa zenu zinawasumbua na kuendelea kudanganya na Chama Cha Mafisadi. Huu ni mwanzo tu 2015 hamtopata hata udiwani.
Endeleeni na ujinga wenu. Muendelee na schedule ya Boksi na kujipendekeza CCM manake mtaonwa na mtapewa ukuu wa wilaya. Boksi halina ujanja, SHWAINIIII NYIE
Kujitambuli kivyama ugahibuni ni ujinga au kijipendekeza naelewa watu wengi wanachanganya mambo kwao CCM ni nchi na Tanzania ni CCM.Tanzania ni ya watanzania CCM sasa inakufa lakini tanzania itabaki.Hayo matawi utitiri ya CCM ugaibuni yamefanyanini kuisaidia CCM Msiwe wajinga mnaalikwa kwenye vipati ubalozini mnapea bia na soda maofisa wa ubalozi wanajenga nyumba bongo chini ya mfuko wa kuviunga mkono matawi ya ccm amkeni ni aibu.Mmepiga kura?!!!!!! nia aibu mambo hayo yanapofanywa na watu wenyeakili zao MUNGU IBARIKI TANZANIA
Angalieni hizi post nyingine jamani...anyway...watu wakibeba box au wakisafisha vyoo its their biz...na ungeweza tu kuwataja hao CCM wa ughaibuni usiwe unaropoka tuuu!Kuna watu tumekuja huku kwa michongo yetu na hizo siasa za uchochoroni wala hazituhusu kihivyo!
Sikuzote na questin uwezo na akili za viongozi na wanachama wa chama cha mtandao chadema!!! Utawajua kwa uropokaji na kufanya vitu bila ya umakini,
kwa hiyo kama huja support chadema kubalini mitusi kutoka kwa walokole wa Chadema
Haya wadau wa CCM ughaibuni na vijimatawi vyenu uchwara mko wapi? Mbona kimyaaaa?
Wananchi bongo wameshaanza kutia akili na kubadilika na ninyi mlio ughaibuni tulitegemea ndio mtakuwa wa kwanza kubadilika kutokana na exposure mnayoipata mkiwa nje ya nchi lakini njaa zenu zinawasumbua na kuendelea kudanganya na Chama Cha Mafisadi. Huu ni mwanzo tu 2015 hamtopata hata udiwani.
Endeleeni na ujinga wenu. Muendelee na schedule ya Boksi na kujipendekeza CCM manake mtaonwa na mtapewa ukuu wa wilaya. Boksi halina ujanja, SHWAINIIII NYIE