Mpinzire
JF-Expert Member
- Jan 18, 2013
- 7,503
- 13,463
CCM inaenda kubadikisha katiba yake! Kwa habari zilizopo CCM inaenda kuwarudisha makati tawala kuwa wajumbe wa NEC, Utaratibu wa Makatibu Tawala kuwa wajumbe wa NEC uliondolewa na Hayati Magufuli baada ya kubadilisha katiba na wajumbe wa NEC kupatikana kwa njia ya kuchaguliwa kikanda.
Sasa CCM imeamua kurudi kwemye utaratibu wake wa awali ambapo Makatibu Tawala ambao ni wateule wa Mh Rais watakuwa ni wajumbe waNEC moja kwa moja.
Pia CCM itabatilisha kifungu kilichoingizwa na Hayati Magufuli kuwa mtu anaweza kuwa na vyeo viwili tofauti bila shida, utaratibu huu pia ulifutwa kipindi cha Hayati Magufuli ambapo alitaka mtu mmoja cheo kimoja na ndipo kwenye uchaguzi mkuu 2020 wakuu wa mikoa walikuwa wanagombea walifutwa kazi.
Samia ataweza kurudisha Rasimu ya Warioba kwa utaratibu huu?
Sasa CCM imeamua kurudi kwemye utaratibu wake wa awali ambapo Makatibu Tawala ambao ni wateule wa Mh Rais watakuwa ni wajumbe waNEC moja kwa moja.
Pia CCM itabatilisha kifungu kilichoingizwa na Hayati Magufuli kuwa mtu anaweza kuwa na vyeo viwili tofauti bila shida, utaratibu huu pia ulifutwa kipindi cha Hayati Magufuli ambapo alitaka mtu mmoja cheo kimoja na ndipo kwenye uchaguzi mkuu 2020 wakuu wa mikoa walikuwa wanagombea walifutwa kazi.
Samia ataweza kurudisha Rasimu ya Warioba kwa utaratibu huu?