QUALITY
JF-Expert Member
- Sep 27, 2010
- 853
- 115
Ndugu nilitaka kuwajuza kuwa jana jioni CCM waliitisha waendesha pikipiki na vijana wavuta bangi wa Tabata Kimanga na kuwagawia Tsh. 5,000 na T-shirt kwa kila mmoja. Kadili ya watu 150 walihudhulia.
Baadaye Mkutano wa CCM ulifanyika hapo kimanga. watu wamesombwa kuanzia Ubungo, Temeke, Tandika na sehemu zingine.
mambo ni magumu zaidi kwa CCM.
Slaa anaweza, kesho Mpigie kura Dr. Slaa
Bye Bye CCM:israel:
Baadaye Mkutano wa CCM ulifanyika hapo kimanga. watu wamesombwa kuanzia Ubungo, Temeke, Tandika na sehemu zingine.
mambo ni magumu zaidi kwa CCM.
Slaa anaweza, kesho Mpigie kura Dr. Slaa
Bye Bye CCM:israel: