Elections 2010 Ccm wakatana mapanga mwanza ,wasshindwa kupiga kura

Elections 2010 Ccm wakatana mapanga mwanza ,wasshindwa kupiga kura

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Kwa wale walioangalia TBC habari saa mbili mnaweza kuamini sasa hii biashara ya kupiga kura ilikuwa wizi mtupu ..nasema hivi kwa maana tukianza na dar wameshindwa hata kupeleka viafaa vya kupiga kura...uko mwanza imani ziliwashinda pale walipoakuta majina yao hayapo na ndipo wakaanza mzozo na kuishia kucharazana mapanga ambapo pilisi walikuja na kufunga vituo zaidi ya vi3...kwa hali ii inaonyesha ccm awakujiandaa na hili zoezi ama wamefanya kuwadanganya watanzania kama si wafadhali kuna upuuzi wa democrasia nchini..mmmh sisemi tumwachie mathread
 
Back
Top Bottom