Ccm walileta mchezo mchezo kwenye kata 42 walipofika Ibighi tuliwapiga 'Stop' Sugu

radika

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2014
Posts
20,440
Reaction score
32,260
"Wananchi bado wanaridhika na sisi kwa hiyo njia pekee watakayofanya labda watumie mabavu na kwa kutumia mabavu CCM Mbeya wanajua, Kikwete anajua, Magufuli anajua kwamba kwa mabavu kwa Mbeya uwezo huo hawana kwa sababu watu wa Mbeya hawajaribiwi na hilo tunalithibitisha hata kwenye Kata ya Ibighi
 
Mbeya ni nchi sugu ndio rais. Mtiti wa mbeya huwa unatisha maana baadae huwa ni visasi vya mauwaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…