Kuwazuia wagombea wao midahalo ccm wamefanya vizuri.
Wanamageuzi wataonekana zaidi na ujumbe ni kuwa ccm wanaogopa,na au wanadharau wananchi.bravo ccm.nadhani mmetathmini mnavyowapa umaarufu chadema,rudini. Lakini mlivyo watumwa,ma dr.na ma prof.mmeufyata na kukubaliana na mwl wa primary aliyebaka na msomali kwamba midahalo si muhimu,ndo maana mtu mmoja alisema mmerogwa.songa mbele chadema,tbc usije ukatafuta aibu zaidi ya ile ya jangwani kuacha midahalo kwa maagizo ya ccm