Pawa chilonda
JF-Expert Member
- Aug 13, 2017
- 356
- 418
Soma hiyo ilani ya CCM ya mwaka 2015, ukurasa wa 7 kifungu cha 19(a) inasema pato la taifa limekuwa kwa asilimia 7.
Ila Ilani ya mwaka 2020 ukurasa ya 10, kifungu cha 17 (b) inasema pato la taifa limekuwa kwa asilimia 6.9.
Hapo umelewa nini?
Ila Ilani ya mwaka 2020 ukurasa ya 10, kifungu cha 17 (b) inasema pato la taifa limekuwa kwa asilimia 6.9.
Hapo umelewa nini?