AK-47 JF-Expert Member Joined Nov 12, 2009 Posts 1,373 Reaction score 202 Oct 11, 2010 #21 Kasheshe said: Hili nadhani tuwaachie wanachama wa CCM, hela zao sisi zinatuhusu nini? Click to expand... Nani kwakuambia ni hela zao..CCM inafanya biashara gani mpaka iwe na hela zote hizo umiza kichwa ndugu
Kasheshe said: Hili nadhani tuwaachie wanachama wa CCM, hela zao sisi zinatuhusu nini? Click to expand... Nani kwakuambia ni hela zao..CCM inafanya biashara gani mpaka iwe na hela zote hizo umiza kichwa ndugu
Iza JF-Expert Member Joined Jan 8, 2009 Posts 2,045 Reaction score 643 Oct 11, 2010 #22 watoe na nani kachangia kiasi gani..
P pierre JF-Expert Member Joined Sep 3, 2010 Posts 211 Reaction score 10 Oct 11, 2010 #23 Changanya na zako....................
Kaa la Moto JF-Expert Member Joined Apr 24, 2008 Posts 7,904 Reaction score 1,064 Oct 11, 2010 #24 ......Si mwisho wa siku watatoa hesabu kwa mkaguzi mkuu wa serikali kukagua? kwi kwi kwi kwi kwi