Uchaguzi 2020 CCM wana maana gani kuandika Fomu zao za Urais ni za kuwania Uongozi katika Vyombo vya Dola?

Uchaguzi 2020 CCM wana maana gani kuandika Fomu zao za Urais ni za kuwania Uongozi katika Vyombo vya Dola?

Influenza

JF-Expert Member
Joined
Jul 1, 2018
Posts
1,509
Reaction score
3,756
CCM wana maana gani kuandika Fomu zao za Urais ni za kuwania Uongozi katika Vyombo vya Dola?
F4032767-CEBC-4727-ABC7-03C34BAD840C.jpeg



444FAC35-AB58-4B48-9C8E-5421E536C211.jpeg
 
Kwa nini nafasi ya uongozi katika vyombo vya dola kwenye fomu za @MagufuliJP lakini fomu ya urais huko Zanzibar @ccm_tanzania ??
IMG_20200620_191506.jpg

Hebu tupeni ufafanuzi maana siai tunajua wagombea ni wa nafasi ya URAIS wa Jamhuri ya Muungano na wa ZANZIBAR?
Nasubiri majibu

IMG_20200620_191456.jpg
IMG_20200620_191501.jpg
IMG_20200620_191642.jpg
 
Sahihi,

Nafasi inayoombwa sio ya Uongozi katika Chama , bali uongozi wa Vyombo vyenye mamlaka ya Dola.
 
Dola ina vyombo vitatu (Serikali, bunge na mahakama) isipokuwa kwa mahakama, vyombe vilivyobaki nafasi zake ni za kuchaguliwa. Rais wa Tz ni mkuu wa Serikali na kwa kuwa Serikali inaingia kwa kura hivyo kauli hiyo ni sawa
 
Back
Top Bottom