Chadema Wao wale Wajumbe 1200 ndio Wenye Maamuzi nani awe Mwenyekit wa Taifa na ukiweza kuhonga Wajumbe 700 wewe ni Mshindi
Ila Wenzao CCM Wajumbe huingia na Azimio Kutoka mkoani kwamba Wanachama wametutuma tumchague Fulani
Kwa Mfumo wa CCM Tundu Lisu angeshinda Saa 4 asubuhi ila Kwa huu Mfumo wa Chadema Fedha ndio itaamua
Jumaa Mubarak 😂