LGE2024 CCM wanaandikisha watu mtaani kwangu

LGE2024 CCM wanaandikisha watu mtaani kwangu

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

cumbamalema

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2024
Posts
366
Reaction score
820
Nimeamka asubuhi mke wangu ananiambia tunaitwa kwa mwenyekiti, nikajikuta niende kumsikiliza anasemaje, nikamkuta kijana anaandikisha majina anasema anataka kutupa kadi za CCM za kieretroniki. Nikamwambia mimi ni mwanachama wa CHADEMA, kuchungulia zile karatasi naona majina yalishafika kalibu 60.

Sasa sijajua anaandikisha kwa maslahi yapi, wanaojua zaidi watusaidie maana nimekuja kwa likizo mimi siyo mkaaji Tanzania niko nje ya nchi kutafuta mkate.
 
Nimeamka asubuhi mke wangu ananiambia tunaitwa kwa mwenyekiti,,nikajikuta niende kumsikiliza anasemaje,nikamkuta kijana anaandikisha majina anasema anataka kutupa kadi za CCM za kieretroniki,nikamwambia mimi ni mwanachama wa CHADEMA,kuchungulia zile karatasi naona majina yalishafika kalibu 60,Sasa sijajua anaandikisha kwa maslai ipi, wanaojua zaidi

Maana nimekuja kwa likizo mimi siyo mkaaji Tanzania niko inje ya inchi kutafuta mkate
Umetuambia anaandikisha ili mpewe kadi za kieroktroniki halafu unatuuliza tena wakati jibu unalo mwenyewe. Are you serious?
Huko CDM mbona karibu wote mna vioja sawa?
 
Nimeamka asubuhi mke wangu ananiambia tunaitwa kwa mwenyekiti,,nikajikuta niende kumsikiliza anasemaje,nikamkuta kijana anaandikisha majina anasema anataka kutupa kadi za CCM za kieretroniki,nikamwambia mimi ni mwanachama wa CHADEMA,kuchungulia zile karatasi naona majina yalishafika kalibu 60,Sasa sijajua anaandikisha kwa maslai ipi, wanaojua zaidi

Maana nimekuja kwa likizo mimi siyo mkaaji Tanzania niko inje ya inchi kutafuta mkate
Kadi za electronics za CCM ni chanzo cha mapato ya CCM Wilaya.

Waache waziokote alfu alfu zenu
 
Huyo anataka kuwatapeli viongozi wakuu ila wampe hela, ni kama vile alivyotapeliwa Nchimbi kule Itilima, Hana madhara yoyote anatafuta hela tu
 
Huwezi kujua nyuma ya pazia kumejificha nini
Are you mpiga ramli?
Kadi mpya na za kisasa za CCM, Yanga,nk zipo tu na vijana wanaandikisha sanaa tu anytime you like. Ni hela yako tu.
Cha ajabu ni kipi kwani wewe ndiyo wajua leo ?
 
Nimeamka asubuhi mke wangu ananiambia tunaitwa kwa mwenyekiti, nikajikuta niende kumsikiliza anasemaje, nikamkuta kijana anaandikisha majina anasema anataka kutupa kadi za CCM za kieretroniki. Nikamwambia mimi ni mwanachama wa CHADEMA, kuchungulia zile karatasi naona majina yalishafika kalibu 60.

Sasa sijajua anaandikisha kwa maslahi yapi, wanaojua zaidi watusaidie maana nimekuja kwa likizo mimi siyo mkaaji Tanzania niko nje ya nchi kutafuta mkate.
Hawa jamaa hawawezi kuondolewa kwa sanduku la kura ,opposition party wajitafakari.
 
Are you mpiga ramli?
Kadi mpya na za kisasa za CCM, Yanga,nk zipo tu na vijana wanaandikisha sanaa tu anytime you like. Ni hela yako tu.
Cha ajabu ni kipi kwani wewe ndiyo wajua leo ?
Nimekwambia mimi siishi Tanzania niko hapa likizo nina wiki tatu na toka niondoke Tanzania nina zaidi ya miaka 4,
 
Nimeamka asubuhi mke wangu ananiambia tunaitwa kwa mwenyekiti, nikajikuta niende kumsikiliza anasemaje, nikamkuta kijana anaandikisha majina anasema anataka kutupa kadi za CCM za kieretroniki. Nikamwambia mimi ni mwanachama wa CHADEMA, kuchungulia zile karatasi naona majina yalishafika kalibu 60.

Sasa sijajua anaandikisha kwa maslahi yapi, wanaojua zaidi watusaidie maana nimekuja kwa likizo mimi siyo mkaaji Tanzania niko nje ya nchi kutafuta mkate.
Hayo ni maandalizi ya wizi wa kura, hilo zoezi limefanyika nchi nzima
 
Mimi pia mwenyekiti wa mtaa kanifikia leo asubuhi nyumbani na kijana eti wanandikisha wanachama wa ccm kidigitali, ila cha ajabu anahitaji na no zetu za vitambulisho vya mpiga kura. Hapo ndipo tumetofautiana na mwenyekiti, nikaendelea na shuguli zangu nae akasepa zake.
 
Nimeamka asubuhi mke wangu ananiambia tunaitwa kwa mwenyekiti, nikajikuta niende kumsikiliza anasemaje, nikamkuta kijana anaandikisha majina anasema anataka kutupa kadi za CCM za kieretroniki. Nikamwambia mimi ni mwanachama wa CHADEMA, kuchungulia zile karatasi naona majina yalishafika kalibu 60.

Sasa sijajua anaandikisha kwa maslahi yapi, wanaojua zaidi watusaidie maana nimekuja kwa likizo mimi siyo mkaaji Tanzania niko nje ya nchi kutafuta mkate.
hiyo ndiyo sayansi ya siasa sasa.

wananchi nchi nzima wanatembelewa nyumba kwa nyumba na mabalozi na viongozi wa matawi ya ccm, hata kama wewe ni wa chama gani lazima viongozi wa ccm wabishe hodi kwako na wakusakimie kichama, upende usipende,

na huo ndiyo ungwana na kwakweli ccm ni chama cha wananchi wote Tanzania, huko majumbani walipo na sio mitandaoni kama vyama vingine vya siasa humbwelambwela huko :pulpTRAVOLTA:

kwahiyo ndrugu zango ukiona vyaelea ujue vimeundwa hivyo, ushindi ni lazima :pedroP:
 
Nimeamka asubuhi mke wangu ananiambia tunaitwa kwa mwenyekiti, nikajikuta niende kumsikiliza anasemaje, nikamkuta kijana anaandikisha majina anasema anataka kutupa kadi za CCM za kieretroniki. Nikamwambia mimi ni mwanachama wa CHADEMA, kuchungulia zile karatasi naona majina yalishafika kalibu 60.

Sasa sijajua anaandikisha kwa maslahi yapi, wanaojua zaidi watusaidie maana nimekuja kwa likizo mimi siyo mkaaji Tanzania niko nje ya nchi kutafuta mkate.
Naanza kupata akili kumbe kura za mfumo wa kidijitali ndiyo sahihi unahitajika kudhibiti wanakwenda maporini kuchimba dawa bila kutumwa na serikali
 
hiyo ndiyo sayansi ya siasa sasa.

wananchi nchi nzima wanatembelewa nyumba kwa nyumba na mabalozi na viongozi wa matawi ya ccm, hata kama wewe ni wa chama gani lazima viongozi wa ccm wabishe hodi kwako na wakusakimie kichama, upende usipende,

na huo ndiyo ungwana na kwakweli ccm ni chama cha wananchi wote Tanzania, huko majumbani walipo na sio mitandaoni kama vyama vingine vya siasa humbwelambwela huko :pulpTRAVOLTA:

kwahiyo ndrugu zango ukiona vyaelea ujue vimeundwa hivyo, ushindi ni lazima :pedroP:
Hilo sijalikataa wala silipingi shida ilikuja kwenye namba za kitambulisho changu cha mpiga kura, kinahusikaje na kadi ya uanachama?
 
Nimeamka asubuhi mke wangu ananiambia tunaitwa kwa mwenyekiti, nikajikuta niende kumsikiliza anasemaje, nikamkuta kijana anaandikisha majina anasema anataka kutupa kadi za CCM za kieretroniki. Nikamwambia mimi ni mwanachama wa CHADEMA, kuchungulia zile karatasi naona majina yalishafika kalibu 60.

Sasa sijajua anaandikisha kwa maslahi yapi, wanaojua zaidi watusaidie maana nimekuja kwa likizo mimi siyo mkaaji Tanzania niko nje ya nchi kutafuta mkate.

Boniface Jacob

@ExMayorUbungo
·
7h

We upo serious unajua Kuna uchaguzi wa serikali za mitaa.Wenzio wanasema,Wananchi ni wapumbavu,lete vitoto vyote vya kidato cha kwanza hadi cha nne tuviandikishe.We Mzazi unajua mwanao yupo darasani anasoma,Kumbe CCM wamemchukua kwenda kuchezea Daftari na kuharibu Demokrasia


1728737087612.jpeg
 
Hilo sijalikataa wala silipingi shida ilikuja kwenye namba za kitambulisho changu cha mpiga kura, kinahusikaje na kadi ya uanachama?
CCM wenyewe wanajua umuhimu hizo kadi kwa wanachama wao wa CCM 🐒

usie mwanachama wa CCM na huiungi mkono CCM endelea na mambo yako...
 
Back
Top Bottom