Huo ndio ukweli. CCM wanafanya wanavyotaka inavyoonekana kwa sasa wapinzani wamekaa kimya wakiangalia ni kwa jinsi gani CCM wanavyopapatuana, na yote haya ni kutaka kuudanganya umma kuwa sasa CCM na serikali yao wanafanya kweli katika kulijenga Taifa mwisho wa siku wanarudi palepale bora Magufuli tunaendeleza sera za CCM na tunasimimamia aliyoaanzisha Marahemu Magufuli.
Ukweli haujulikani wanafanya kitu gani.
Kama ni timu kwa jinsi ya pangua pangua aliyoingia nayo Mheshimiwa Rais Samia ni dhahiri CCM nchi imewaelemea vibaya sana, watake wasitake ubabaishaji umekuwa mkubwa huke siku zinayoyoma kuukaribia uchaguzi.
Kesho keshokutwa anaondolewa spika apishe uchunguzi kwa kuvunja katiba, yaani Serikali au tuseme CCM inahamisha fikra kila siku,inawahamisha wananchi kutoka kushoto kwenda kulia ni kuwachezesha kwata.
Na wananchi wamekuwa kama mazezeta.
Ukweli haujulikani wanafanya kitu gani.
Kama ni timu kwa jinsi ya pangua pangua aliyoingia nayo Mheshimiwa Rais Samia ni dhahiri CCM nchi imewaelemea vibaya sana, watake wasitake ubabaishaji umekuwa mkubwa huke siku zinayoyoma kuukaribia uchaguzi.
Kesho keshokutwa anaondolewa spika apishe uchunguzi kwa kuvunja katiba, yaani Serikali au tuseme CCM inahamisha fikra kila siku,inawahamisha wananchi kutoka kushoto kwenda kulia ni kuwachezesha kwata.
Na wananchi wamekuwa kama mazezeta.