Uchaguzi 2020 CCM wanakosea wapi?

Yale majengo ya lumumba ccm ikifa tuyafanyie nn, me napendekeza yawe hostel za wanachuo ili kuwapunguzia shida za malazi,
Wwe unapendekeza nn
 
Chama mfu Ni kile kinachobebwa na dola badala ya umma (hoja ya ushawishi) na anaemiliki nguvu ya umma ndie anaemiliki dola.
 
Yale majengo ya lumumba ccm ikifa tuyafanyie nn, me napendekeza yawe hostel za wanachuo ili kuwapunguzia shida za malazi,
Wwe unapendekeza nn
jengo libomolewe lote waweke mnara wa jembe na nyundo kuashiria namna hizo zana zimetumika kudumaza taifa
 
MASIEMU YALICHIMBA KABURI KUWAZIKA WAPINZANI ILA NAONA WAO NDIO WATAJIZIKA WENYEWE. God's time is a right time
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…