CCM wanapingana na tume ya Warioba au wananchi?

CCM wanapingana na tume ya Warioba au wananchi?

zamlock

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2010
Posts
3,840
Reaction score
659
CCM inatushangaza sana kwa kauli zao baada ya mzee warioba kuwakilisha rasimu ya pili bungeni jana.

Wasira alizungumza kwa jeuri sana wakati akihojiwa na mwandishi wa itv achilia hapo leo asubuhi kwenye kipindi cha jambo tbc kingunge alikuwa anazungumza na kujenga hoja ambazo azina mantiki kabisa eti anasema bunge la katiba ndilo linalo andika katiba kwa hyo wanakwenda kuandika katiba watakayo wao hapo hapo mzee kificho akikanusha kuwa wao awakupeleka mapendekezo ya serikali tatu.

CCM wanapaswa kujipima na kujitambua kuwa huu ni muda mwingine sana katika hii dunia ya sasa watanzania wanauwelewa sana wa mambo mengi na uchambuzi wa hali ya juu sana.
 
Ccm inatushangaza sana kwa kauli zao baada ya mzee warioba kuwakilisha rasimu ya pili bungeni jana....
Wasira alizungumza kwa jeuri sana wakati akihojiwa na mwandishi wa itv achilia hapo leo asubuhi kwenye kipindi cha jambo tbc kingunge alikuwa anazungumza na kujenga hoja ambazo azina mantiki kabisa eti anasema bunge la katiba ndilo linalo andika katiba kwa hyo wanakwenda kuandika katiba watakayo wao hapo hapo mzee kificho akikanusha kuwa wao awakupeleka mapendekezo ya serikali tatu.
Ccm wanapaswa kujipima na kujitambua kuwa huu ni muda mwingine sana katika hii dunia ya sasa watanzania wanauwelewa sana wa mambo mengi na uchambuzi wa hali ya juu sana.
We ngoja hawa wazee dawa yao ipo tuu.
 
damu itamwagika nakuhakikishia. hivi wanafikiwri watanganyika tunaoishi zanzibar tunataka kuendelea kubaguliwa kijinga?
 
CCM wamepoteza sense ya kusoma na kuzitambua alama za nyakati! Hawajui kuwa majority of Wananchi wanawaza nini kwa sasa! Wapo katika usingizi wa chama kushika hatamu wakati wananchi wapo katika demokrasia ya vyama vingi!
 
Nikiri kuwa sijasoma chochote kwenye uzi wako kutokana na uandishi wako mbovu na hoja yako dhaifu.

Suala la kusema eti "CCM" halafu hapo hapo useme "wananchi", hivi umeelewa ulicho kiandika hapo?

Hao ambao unawaita CCM wapo zaidi ya Million 10 kwa sasa, na ukiangalia watu waliotoa maoni kwenye rasimu ya jaji Warioba hawafiki hata 300,000.

Kwa uelewa wako mdogo, CCM inapinga maoni ya wananchi?

Ushauri: CCM ni chama tu, ila wanachama wake ni wananchi na wana haki ya kutetea msimamo wao juu ya mambo ya kitaifa ikiwemo hili la muungano. Hivyo basi, waache wana CCM waeleze hisia zao juu ya yale wanayoona yanafaa kwa maslahi ya taifa.
 
teteteetetetetetete.........ETI KINGUNGE NA KIFICHO WANAPINGANA NA WARIOBA JAMANI, HAWA WAZEE SASA WAMEISHIWA KABISA AKILI, BUSARA NA HEKIMA, YAANI IMEBAKI NI MAFUVU TU YALIYOJAA USHIRIKINA NA MAJUNGU. MUNGU AMBARIKI SANA MH. JAJI WARIOBA KWA KUWAKILISHA MAWAZO HALISI YA WATANZANIA.
 
Nikiri kuwa sijasoma chochote kwenye uzi wako kutokana na uandishi wako mbovu na hoja yako dhaifu.

Suala la kusema eti "CCM" halafu hapo hapo useme "wananchi", hivi umeelewa ulicho kiandika hapo?

Hao ambao unawaita CCM wapo zaidi ya Million 10 kwa sasa, na ukiangalia watu waliotoa maoni kwenye rasimu ya jaji Warioba hawafiki hata 300,000.

Kwa uelewa wako mdogo, CCM inapinga maoni ya wananchi?

Ushauri: CCM ni chama tu, ila wanachama wake ni wananchi na wana haki ya kutetea msimamo wao juu ya mambo ya kitaifa ikiwemo hili la muungano. Hivyo basi, waache wana CCM waeleze hisia zao juu ya yale wanayoona yanafaa kwa maslahi ya taifa.

Mlifanya lini consultation na hao 'watu milioni 10' wakaamua kwa kauli moja kupinga serikali 3 au kuunga mkono serikali 2?! Au unaassume tu ukiwa mwanaCCM basi hata Nape akiamua ni msimamo wa 'watu milioni 10'!
 
Mlifanya lini consultation na hao 'watu milioni 10' wakaamua kwa kauli moja serikali 3 au kuunga mkono serikali 2?! Au unaassume tu ukiwa mwanaCCM basi hata Nape akiamua ni msimamo wa 'watu milioni 10'!
Nimeipenda akili ndogo kutawala akili kubwa et ndo maoni ya ccm waulize ni kwa nini wanataka kura ya wazi kama hayo ni maoni ya ccm
 
Hamy d ni wewe unapaswa kujitambua achana na uccm pia najua usingeweza soma kwa sababu upendi mabadiliko
 
Nikiri kuwa sijasoma chochote kwenye uzi wako kutokana na uandishi wako mbovu na hoja yako dhaifu.

Suala la kusema eti "CCM" halafu hapo hapo useme "wananchi", hivi umeelewa ulicho kiandika hapo?

Hao ambao unawaita CCM wapo zaidi ya Million 10 kwa sasa, na ukiangalia watu waliotoa maoni kwenye rasimu ya jaji Warioba hawafiki hata 300,000.

Kwa uelewa wako mdogo, CCM inapinga maoni ya wananchi?

Ushauri: CCM ni chama tu, ila wanachama wake ni wananchi na wana haki ya kutetea msimamo wao juu ya mambo ya kitaifa ikiwemo hili la muungano. Hivyo basi, waache wana CCM waeleze hisia zao juu ya yale wanayoona yanafaa kwa maslahi ya taifa.

Nadhani kati ya watu wasiojitambua vizur nchi hii nawe ni mmoja wapo! watu kama nyie ndo mwaturudisha nyuma kifkra! maana twafanya kazi kubwa kuelimisha taifa linavyo nyonywa na ni nani anaesababisha linyonywe na kubaki masikin kila kukicha, lakin kwa kutokuwa na fikra pana eti apo na wewe unaona umeandika jambo la maana! Shame on you.
 
Wala wasikupe shida mkuu, waache waendelee kubwabwaja ila muda ukifika having realized that they can't fight us, they will have to join us!!!
 
Nikiri kuwa sijasoma chochote kwenye uzi wako kutokana na uandishi wako mbovu na hoja yako dhaifu.

Suala la kusema eti "CCM" halafu hapo hapo useme "wananchi", hivi umeelewa ulicho kiandika hapo?

Hao ambao unawaita CCM wapo zaidi ya Million 10 kwa sasa, na ukiangalia watu waliotoa maoni kwenye rasimu ya jaji Warioba hawafiki hata 300,000.

Kwa uelewa wako mdogo, CCM inapinga maoni ya wananchi?

Ushauri: CCM ni chama tu, ila wanachama wake ni wananchi na wana haki ya kutetea msimamo wao juu ya mambo ya kitaifa ikiwemo hili la muungano. Hivyo basi, waache wana CCM waeleze hisia zao juu ya yale wanayoona yanafaa kwa maslahi ya taifa.



Acha kudanganya watu.Ukijumlisha wanachama wa vyama vyote nchini hawafiki milioni 10.Ha milioni 10 wa CCM umewatoa wapi?
Hii ina maana watanzania mil 34 hawana chama,sasa maoni ya hao mil 34 umeyaweka wapi? au una maanisha hao wote ni CCM?
Ki ufupi ni kwamba Tume ya warioba iko kisherisa na shughuli zake ziliratibiwa kisheria,waliyokuja nayo ndio maoni ya wananchi.
 
Acha kudanganya watu.Ukijumlisha wanachama wa vyama vyote nchini hawafiki milioni 10.Ha milioni 10 wa CCM umewatoa wapi?
Hii ina maana watanzania mil 34 hawana chama,sasa maoni ya hao mil 34 umeyaweka wapi? au una maanisha hao wote ni CCM?
Ki ufupi ni kwamba Tume ya warioba iko kisherisa na shughuli zake ziliratibiwa kisheria,waliyokuja nayo ndio maoni ya wananchi.


Hilo nalo neno! Hawa kenge maji hawataki kabisa kuelewa hilo lakini utashangaa wanavyodakia fast maoni ya wahuni kama akina REDET simply kwa sababu always yako in their favour. Yaani haya makanjanja ya magamba yanakera mno. Nilistuka sana kipindi kile eti Nape Nnauye naye "anamjibu" Jaji Warioba; mwendawazimu kweli yule!
 
Nikiri kuwa sijasoma chochote kwenye uzi wako kutokana na uandishi wako mbovu na hoja yako dhaifu.

Suala la kusema eti "CCM" halafu hapo hapo useme "wananchi", hivi umeelewa ulicho kiandika hapo?

Hao ambao unawaita CCM wapo zaidi ya Million 10 kwa sasa, na ukiangalia watu waliotoa maoni kwenye rasimu ya jaji Warioba hawafiki hata 300,000.

Kwa uelewa wako mdogo, CCM inapinga maoni ya wananchi?

Ushauri: CCM ni chama tu, ila wanachama wake ni wananchi na wana haki ya kutetea msimamo wao juu ya mambo ya kitaifa ikiwemo hili la muungano. Hivyo basi, waache wana CCM waeleze hisia zao juu ya yale wanayoona yanafaa kwa maslahi ya taifa.

Ni lini uliwahi kuwa na mawazo ambayo ni huru? sku zote umekuwa ukishabikia misimamo na mawazo ya chama chako paspo kupenyeza hata robo ya mawazo yako dhidi ya misimamo isyo na maslahi kwa watanzania.
Ikitokea ccm ikasema Tanzania iliwahi kuwa koloni la marekani utakubari hata kama hukuwahi kusoma ama kusikia popote pale duniani,jaribu kubadirika si lazma babako akiwa mwanga na wewe uwe eti kwa sababu tu amekuzaa na kukulea pole sana.
 
MPIRA UKO UWANJANI. WATAZAMAJI MNAGOMBANIA NINI ??? JAJI AMEZUNGUMZA UWANJANI (BUNGENI)<br>NA WACHEZAJ WENYEWE WAMO HUMO HUMO. NASHINDWA KUELEWA !!!
 
Nikiri kuwa sijasoma chochote kwenye uzi wako kutokana na uandishi wako mbovu na hoja yako dhaifu.

Suala la kusema eti "CCM" halafu hapo hapo useme "wananchi", hivi umeelewa ulicho kiandika hapo?

Hao ambao unawaita CCM wapo zaidi ya Million 10 kwa sasa, na ukiangalia watu waliotoa maoni kwenye rasimu ya jaji Warioba hawafiki hata 300,000.

Kwa uelewa wako mdogo, CCM inapinga maoni ya wananchi?

Ushauri: CCM ni chama tu, ila wanachama wake ni wananchi na wana haki ya kutetea msimamo wao juu ya mambo ya kitaifa ikiwemo hili la muungano. Hivyo basi, waache wana CCM waeleze hisia zao juu ya yale wanayoona yanafaa kwa maslahi ya taifa.
5M out of 42M
 
Nikiri kuwa sijasoma chochote kwenye uzi wako kutokana na uandishi wako mbovu na hoja yako dhaifu.

Suala la kusema eti "CCM" halafu hapo hapo useme "wananchi", hivi umeelewa ulicho kiandika hapo?

Hao ambao unawaita CCM wapo zaidi ya Million 10 kwa sasa, na ukiangalia watu waliotoa maoni kwenye rasimu ya jaji Warioba hawafiki hata 300,000.

Kwa uelewa wako mdogo, CCM inapinga maoni ya wananchi?

Ushauri: CCM ni chama tu, ila wanachama wake ni wananchi na wana haki ya kutetea msimamo wao juu ya mambo ya kitaifa ikiwemo hili la muungano. Hivyo basi, waache wana CCM waeleze hisia zao juu ya yale wanayoona yanafaa kwa maslahi ya taifa.

Na wewe uelewe sio wanachama wote wa CCM wanashabikia serikali mbili. Hata Warioba na wajumbe wengi wa tume ya marekebisho ya katiba ni wana ccm. Hao waliohojiwa 38 000 kutoka bara ni sample na inakubalika katika kufanya maamuzi ya takwimu.
 
Kumbe wewe ni mgonjwa!..

Nikiri kuwa sijasoma chochote kwenye uzi wako kutokana na uandishi wako mbovu na hoja yako dhaifu.

Suala la kusema eti "CCM" halafu hapo hapo useme "wananchi", hivi umeelewa ulicho kiandika hapo?

Hao ambao unawaita CCM wapo zaidi ya Million 10 kwa sasa, na ukiangalia watu waliotoa maoni kwenye rasimu ya jaji Warioba hawafiki hata 300,000.

Kwa uelewa wako mdogo, CCM inapinga maoni ya wananchi?

Ushauri: CCM ni chama tu, ila wanachama wake ni wananchi na wana haki ya kutetea msimamo wao juu ya mambo ya kitaifa ikiwemo hili la muungano. Hivyo basi, waache wana CCM waeleze hisia zao juu ya yale wanayoona yanafaa kwa maslahi ya taifa.
 
Back
Top Bottom