CCM wanataka Mbowe aendelee, ikiwa wajumbe watamchague Mbowe itamanisha CCM na wajumbe wana-share maslahi yanayofanana

CCM wanataka Mbowe aendelee, ikiwa wajumbe watamchague Mbowe itamanisha CCM na wajumbe wana-share maslahi yanayofanana

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2018
Posts
28,297
Reaction score
68,017
Mpo Salama kabisa!

Naona Team Lisu mmekwaza, mmekata tamaa lakini pia Wanachadema ambao sio team Lisu lakini mnahitaji mabadiliko mapya na uongozi wenye mawazo na mbinu Mpya. Poleni Sana. Ndivyo siasa zilivyo.

Kwa mara ya Kwanza Historia itaandikwa, kiongozi anayeongoza CHADEMA kuwavutia CCM. Hii haijawahi kutokea kiongozi wa chama kikuu cha upinzani kusapotiwa na kupendwa na CCM.

Ikiwa wajumbe watamchagua Mbowe akaendelea na uenyekiti hii itamaanisha Wajumbe na CCM wameungana kwa namna Fulani. Wamekuwa kitu kimoja. Kuna maslahi fulani yanawaunganisha.

Lakini hii pia inaweza kuwa kete ya mwisho kwa CCM kuhakikisha CHADEMA haiinuki tena na tena.

Ukiangalia chama cha CHADEMA kwa nini kimechelewa kudondoshwa na CCM ni aina watu iliyokuwa nayo.

Hapana Shaka Mbowe alifanya usajili mzuri Miaka 20 iliyopita. Na matunda ya usajili huo yameifanya CHADEMA i- survive kwa wakati huo.

Kile kikosi cha dhahabu chote kimepigwa na kuangushwa.

Kina Zitto Kabwe, kina Slaa, kina Msigwa na wengineo wengi waliochukuliwa Kipindi cha Magufuli walikuwa watu wenye nguvu na mchango Mkubwa kwa CHADEMA.

Kwa sasa CHADEMA kikosi chako ukikitazama kwa Makini kabisa, kikosi cha dhahabu kilichobaki ni Tundu Lisu, John Heche na Lema. Ambao nao ndio hao adui kawakata upepo.

Sasa kama CCM atadondoshwa bila Shaka Heche nguvu zitakuwa zimeisha Kabisa.

Ni kama vile Israel ilivyokuwa inashughulikia adui zake hapo mashariki ya Kati.
Kitendo cha Israel kuua n kudondosha viongozi wa Hammas na Hezbollah kimedhoofisha Makundi hayo.

Kwenye siasa, hata uwe na watu Milioni Mia kama huna viongozi mahiri hao watu ni useless.
Ndio maana chama Makini hufanya usajili na kuwachukua watu makini ili kujitajirisha na kuwa na nguvu.

Ngoja tuone
 
Mpo Salama kabisa!

Naona Team Lisu mmekwaza, mmekata tamaa lakini pia Wanachadema ambao sio team Lisu lakini mnahitaji mabadiliko mapya na uongozi wenye mawazo na mbinu Mpya. Poleni Sana. Ndivyo siasa zilivyo.

Kwa mara ya Kwanza Historia itaandikwa, kiongozi anayeongoza CHADEMA kuwavutia CCM. Hii haijawahi kutokea kiongozi wa chama kikuu cha upinzani kusapotiwa na kupendwa na CCM.

Ikiwa wajumbe watamchagua Mbowe akaendelea na uenyekiti hii itamaanisha Wajumbe na CCM wameungana kwa namna Fulani. Wamekuwa kitu kimoja. Kuna maslahi fulani yanawaunganisha.

Lakini hii pia inaweza kuwa kete ya mwisho kwa CCM kuhakikisha CHADEMA haiinuki tena na tena.

Ukiangalia chama cha CHADEMA kwa nini kimechelewa kudondoshwa na CCM ni aina watu iliyokuwa nayo.

Hapana Shaka Mbowe alifanya usajili mzuri Miaka 20 iliyopita. Na matunda ya usajili huo yameifanya CHADEMA i- survive kwa wakati huo.

Kile kikosi cha dhahabu chote kimepigwa na kuangushwa.

Kina Zitto Kabwe, kina Slaa, kina Msigwa na wengineo wengi waliochukuliwa Kipindi cha Magufuli walikuwa watu wenye nguvu na mchango Mkubwa kwa CHADEMA.

Kwa sasa CHADEMA kikosi chako ukikitazama kwa Makini kabisa, kikosi cha dhahabu kilichobaki ni Tundu Lisu, John Heche na Lema. Ambao nao ndio hao adui kawakata upepo.

Sasa kama CCM atadondoshwa bila Shaka Heche nguvu zitakuwa zimeisha Kabisa.

Ni kama vile Israel ilivyokuwa inashughulikia adui zake hapo mashariki ya Kati.
Kitendo cha Israel kuua n kudondosha viongozi wa Hammas na Hezbollah kimedhoofisha Makundi hayo.

Kwenye siasa, hata uwe na watu Milioni Mia kama huna viongozi mahiri hao watu ni useless.
Ndio maana chama Makini hufanya usajili na kuwachukua watu makini ili kujitajirisha na kuwa na nguvu.

Ngoja tuone
CDM ni ni Moja ya assets kwenye vitabu vya hesaba za familia ya Mbowe na Mzee Mtei. Hao kina Lissu, He he, Zitto and Co, ni kama waajirwa tu ambao wanaokuja na kupita.
Baada ya Freeman Mbowe atakuja descendants mwingine kutoka Mbowe or Mtei Family.
 
Mpo Salama kabisa!

Naona Team Lisu mmekwaza, mmekata tamaa lakini pia Wanachadema ambao sio team Lisu lakini mnahitaji mabadiliko mapya na uongozi wenye mawazo na mbinu Mpya. Poleni Sana. Ndivyo siasa zilivyo.

Kwa mara ya Kwanza Historia itaandikwa, kiongozi anayeongoza CHADEMA kuwavutia CCM. Hii haijawahi kutokea kiongozi wa chama kikuu cha upinzani kusapotiwa na kupendwa na CCM.

Ikiwa wajumbe watamchagua Mbowe akaendelea na uenyekiti hii itamaanisha Wajumbe na CCM wameungana kwa namna Fulani. Wamekuwa kitu kimoja. Kuna maslahi fulani yanawaunganisha.

Lakini hii pia inaweza kuwa kete ya mwisho kwa CCM kuhakikisha CHADEMA haiinuki tena na tena.

Ukiangalia chama cha CHADEMA kwa nini kimechelewa kudondoshwa na CCM ni aina watu iliyokuwa nayo.

Hapana Shaka Mbowe alifanya usajili mzuri Miaka 20 iliyopita. Na matunda ya usajili huo yameifanya CHADEMA i- survive kwa wakati huo.

Kile kikosi cha dhahabu chote kimepigwa na kuangushwa.

Kina Zitto Kabwe, kina Slaa, kina Msigwa na wengineo wengi waliochukuliwa Kipindi cha Magufuli walikuwa watu wenye nguvu na mchango Mkubwa kwa CHADEMA.

Kwa sasa CHADEMA kikosi chako ukikitazama kwa Makini kabisa, kikosi cha dhahabu kilichobaki ni Tundu Lisu, John Heche na Lema. Ambao nao ndio hao adui kawakata upepo.

Sasa kama CCM atadondoshwa bila Shaka Heche nguvu zitakuwa zimeisha Kabisa.

Ni kama vile Israel ilivyokuwa inashughulikia adui zake hapo mashariki ya Kati.
Kitendo cha Israel kuua n kudondosha viongozi wa Hammas na Hezbollah kimedhoofisha Makundi hayo.

Kwenye siasa, hata uwe na watu Milioni Mia kama huna viongozi mahiri hao watu ni useless.
Ndio maana chama Makini hufanya usajili na kuwachukua watu makini ili kujitajirisha na kuwa na nguvu.

Ngoja tuone
Habari ya Mjini sasa hivi ni CHADEMA, Mbowe na Lissu tu!

Hawa jamaa nadhani siyo watu wa kawaida.
 
Chadema wakae chini wajitafakari kuna mahali wanakosea.

Haihitaji kwenda darasa la falsafa kujiuliza imekuwaje Mbowe ana uungwaji mkono na wapambe kibao hasa kutoka CCM kipindi hiki?

Ukiona adui yako anakusifia na kukuelekeza mbinu za kumshinda jua umeshapoteza pambano.

Watu waliokipigania chama aliwaangusha baada ya kumleta fisadi kugombea urais wakaaamua kukaa pembeni awamu hii asipoangalia chama kinaenda kumfia mikononi ni muhimu achague kuchukua pesa za Samia na Abduli au arudi kwenye misingi ya chama.
 
Kuba_Nyimi_Mbope.jpg

Kuna tofauti gani kati Mwami Kuba Nyimi Mbope wa Congo na Ayatolah Freeman Aikaeli Mbowe wa CHADEMA?!🤔

Sioni tofauti yoyote.😒
 
Mpo Salama kabisa!

Naona Team Lisu mmekwaza, mmekata tamaa lakini pia Wanachadema ambao sio team Lisu lakini mnahitaji mabadiliko mapya na uongozi wenye mawazo na mbinu Mpya. Poleni Sana. Ndivyo siasa zilivyo.

Kwa mara ya Kwanza Historia itaandikwa, kiongozi anayeongoza CHADEMA kuwavutia CCM. Hii haijawahi kutokea kiongozi wa chama kikuu cha upinzani kusapotiwa na kupendwa na CCM.

Ikiwa wajumbe watamchagua Mbowe akaendelea na uenyekiti hii itamaanisha Wajumbe na CCM wameungana kwa namna Fulani. Wamekuwa kitu kimoja. Kuna maslahi fulani yanawaunganisha.

Lakini hii pia inaweza kuwa kete ya mwisho kwa CCM kuhakikisha CHADEMA haiinuki tena na tena.

Ukiangalia chama cha CHADEMA kwa nini kimechelewa kudondoshwa na CCM ni aina watu iliyokuwa nayo.

Hapana Shaka Mbowe alifanya usajili mzuri Miaka 20 iliyopita. Na matunda ya usajili huo yameifanya CHADEMA i- survive kwa wakati huo.

Kile kikosi cha dhahabu chote kimepigwa na kuangushwa.

Kina Zitto Kabwe, kina Slaa, kina Msigwa na wengineo wengi waliochukuliwa Kipindi cha Magufuli walikuwa watu wenye nguvu na mchango Mkubwa kwa CHADEMA.

Kwa sasa CHADEMA kikosi chako ukikitazama kwa Makini kabisa, kikosi cha dhahabu kilichobaki ni Tundu Lisu, John Heche na Lema. Ambao nao ndio hao adui kawakata upepo.

Sasa kama CCM atadondoshwa bila Shaka Heche nguvu zitakuwa zimeisha Kabisa.

Ni kama vile Israel ilivyokuwa inashughulikia adui zake hapo mashariki ya Kati.
Kitendo cha Israel kuua n kudondosha viongozi wa Hammas na Hezbollah kimedhoofisha Makundi hayo.

Kwenye siasa, hata uwe na watu Milioni Mia kama huna viongozi mahiri hao watu ni useless.
Ndio maana chama Makini hufanya usajili na kuwachukua watu makini ili kujitajirisha na kuwa na nguvu.

Ngoja tuone
CCM wanataka Lissu kwasababu wanajua ana papara nyingi kuliko busara.
 
Inashangaza sana! Wale vijana wa ccm wa mitandaoni wameruka kwa wingi kama nzinge kwenda kumsapoti mbowe dhidi ya lissu. Wanapiga kampeni na propaganda kinafiki mpaka wanazidisha unaa na kuonekana wanafanya utoto. Mwenyekiti anaambiwa asikubali kushindwa na lissu kwa kuwa baba mkwe wake alikipambania chama mpaka kikawa kikubwa, hivyo basi akishindwa na lissu atakuwa fala. Ujinga gani huu wa vijana wa ccm?
 
CCM wanataka Lissu kwasababu wanajua ana papara nyingi kuliko busara.
we vipi? Kati ya lissu na mbowe nani alipewa airtime na coverage kubwa na media za ccm na serikali yake? Hukuona tbc walivyokuwa wanaratibu press ya mbowe, au walibalansi press zote mbili? Au huoni vijana wa ccm wanavyomsigina lissu na kumpamba mbowe kuwa ni jabali la siasa kinafiki?
 
Back
Top Bottom