CCM waogope sana hili joto na jua kali nchini kwa sasa. Muda si mrefu nguvu ya umma itadhihirika!

CCM waogope sana hili joto na jua kali nchini kwa sasa. Muda si mrefu nguvu ya umma itadhihirika!

Mikopo Consultant

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2024
Posts
529
Reaction score
1,150
Kwa mujibu wa takwimu za NBS, watanzania wenye uwezo wa kufanya kazi karibu asilimia 65 wameajiriwa kwenye mnyororo wa thamani wa kilimo.

Nchi hii imekuwa na baraka sana ya kupata neema ya hali njema ya hewa, kiasi kwamba kila mwaka watu wamekuwa wanakula na kusaza japo hawana akiba yeyote (no savings), ikimaanisha ya kwamba watanzania asilimia kubwa wanaishi subsistence life - wanakula wanacholima.

Na kama inavyojulikana, watu wengi wenye hasira ni wakulima na wafugaji (kama unabisha kumbuka ya Chato Boy - John Pombe Magufuli) alivyowachezesha shere wanaojiita watoto wa mjini.

Sasa basi, kwa muktadha huo, hili joto na jua ninalolishuhudia na kulisikia, Mungu epusha mbali, endapo hali ikiwa hivi mpaka December 2025 na ikapelekea wakulima na wafagaji wenye hasira wakakosa mavuno (wakavuna mabua) na wafugaji wakakosa malisho, hii ndio itakuwa gold bullet ya lile anguko la CCM wengi wetu huwa tunalizungumzazungumza bila kujua litakujaje.

Watu wengi Tanzania wamechafukwa rohoni mda mwingi tu (kwahiyo mtaji wa jazba na hasira upo) kinachochelewesha nguvu ya umma ni kwamba watu wamekuwa wanalima wanavuna wanakula wanazaliana wanasahau shida zao kwa muda.

Hata polisi na vyombo vya ulinzi huwa wanadhani kwamba wanafanikiwaga kuwa contain watanzania, lakini wala haipo hivo. Hakuna mtu anaweza ku control umma wa watu milioni 70.

Hivyo, CCM waogope sana hili joto na jua kali nchini kwa sasa.
 
Kwa mujibu wa takwimu za NBS, watanzania wenye uwezo wa kufanya kazi karibu asilimia 65 wameajiriwa kwenye mnyororo wa thamani wa kilimo.

Nchi hii imekuwa na baraka sana ya kupata neema ya hali njema ya hewa, kiasi kwamba kila mwaka watu wamekuwa wanakula na kusaza japo hawana akiba yeyote (no savings), ikimaanisha ya kwamba watanzania asilimia kubwa wanaishi subsistence life - wanakula wanacholima.

Na kama inavyojulikana, watu wengi wenye hasira ni wakulima na wafugaji (kama unabisha kumbuka ya Chato Boy - John Pombe Magufuli) alivyowachezesha shere wanaojiita watoto wa mjini.

Sasa basi, kwa muktadha huo, hili joto na jua ninalolishuhudia na kulisikia, Mungu epusha mbali, endapo hali ikiwa hivi mpaka December 2025 na ikapelekea wakulima na wafagaji wenye hasira wakakosa mavuno (wakavuna mabua) na wafugaji wakakosa malisho, hii ndio itakuwa gold bullet ya lile anguko la CCM wengi wetu huwa tunalizungumzazungumza bila kujua litakujaje.

Watu wengi Tanzania wamechafukwa rohoni mda mwingi tu (kwahiyo mtaji wa jazba na hasira upo) kinachochelewesha nguvu ya umma ni kwamba watu wamekuwa wanalima wanavuna wanakula wanazaliana wanasahau shida zao kwa muda.

Hata polisi na vyombo vya ulinzi huwa wanadhani kwamba wanafanikiwaga kuwa contain watanzania, lakini wala haipo hivo. Hakuna mtu anaweza ku control umma wa watu milioni 70.

Hivyo, CCM waogope sana hili joto na jua kali nchini kwa sasa.
Mkuu japo siipendi CCM lakini hakuna kitakachoitoa madarakani iwe joto na jua, iwe mvua na iwe sanduku la kura.
 
Hivi chama Cha ccm huwa hakina wasomi , washauri na watafiti wanaoweza kusoma alama za nyakati? Haya ya NETO na Chama Cha wasiokuwa na AJIRA ni cheche mbaya zitakazozaa moto baadae
Ni jambo zuri ku analyze trend za matukio ya kijamii, demografia, na masuala ya uchumi... vina uhusiano wa moja kwa moja kwenye utulivu na hali za kisiasa
 
Mkuu japo siipendi CCM lakini hakuna kitakachoitoa madarakani iwe joto na jua, iwe mvua na iwe sanduku la kura.
Hamna mkuu, jua likiwaka hivi na ukame ukatawala ndo utajua hasira za wakulima na wafugaji... wanaupiga mkono kuliko hata wewe mtaalamu wa karate
 
Kwa mujibu wa takwimu za NBS, watanzania wenye uwezo wa kufanya kazi karibu asilimia 65 wameajiriwa kwenye mnyororo wa thamani wa kilimo.

Nchi hii imekuwa na baraka sana ya kupata neema ya hali njema ya hewa, kiasi kwamba kila mwaka watu wamekuwa wanakula na kusaza japo hawana akiba yeyote (no savings), ikimaanisha ya kwamba watanzania asilimia kubwa wanaishi subsistence life - wanakula wanacholima.

Na kama inavyojulikana, watu wengi wenye hasira ni wakulima na wafugaji (kama unabisha kumbuka ya Chato Boy - John Pombe Magufuli) alivyowachezesha shere wanaojiita watoto wa mjini.

Sasa basi, kwa muktadha huo, hili joto na jua ninalolishuhudia na kulisikia, Mungu epusha mbali, endapo hali ikiwa hivi mpaka December 2025 na ikapelekea wakulima na wafagaji wenye hasira wakakosa mavuno (wakavuna mabua) na wafugaji wakakosa malisho, hii ndio itakuwa gold bullet ya lile anguko la CCM wengi wetu huwa tunalizungumzazungumza bila kujua litakujaje.

Watu wengi Tanzania wamechafukwa rohoni mda mwingi tu (kwahiyo mtaji wa jazba na hasira upo) kinachochelewesha nguvu ya umma ni kwamba watu wamekuwa wanalima wanavuna wanakula wanazaliana wanasahau shida zao kwa muda.

Hata polisi na vyombo vya ulinzi huwa wanadhani kwamba wanafanikiwaga kuwa contain watanzania, lakini wala haipo hivo. Hakuna mtu anaweza ku control umma wa watu milioni 70.

Hivyo, CCM waogope sana hili joto na jua kali nchini kwa sasa.
Utaambiwa Tafuta Hela!!
 
Kwa mujibu wa takwimu za NBS, watanzania wenye uwezo wa kufanya kazi karibu asilimia 65 wameajiriwa kwenye mnyororo wa thamani wa kilimo.

Nchi hii imekuwa na baraka sana ya kupata neema ya hali njema ya hewa, kiasi kwamba kila mwaka watu wamekuwa wanakula na kusaza japo hawana akiba yeyote (no savings), ikimaanisha ya kwamba watanzania asilimia kubwa wanaishi subsistence life - wanakula wanacholima.

Na kama inavyojulikana, watu wengi wenye hasira ni wakulima na wafugaji (kama unabisha kumbuka ya Chato Boy - John Pombe Magufuli) alivyowachezesha shere wanaojiita watoto wa mjini.

Sasa basi, kwa muktadha huo, hili joto na jua ninalolishuhudia na kulisikia, Mungu epusha mbali, endapo hali ikiwa hivi mpaka December 2025 na ikapelekea wakulima na wafagaji wenye hasira wakakosa mavuno (wakavuna mabua) na wafugaji wakakosa malisho, hii ndio itakuwa gold bullet ya lile anguko la CCM wengi wetu huwa tunalizungumzazungumza bila kujua litakujaje.

Watu wengi Tanzania wamechafukwa rohoni mda mwingi tu (kwahiyo mtaji wa jazba na hasira upo) kinachochelewesha nguvu ya umma ni kwamba watu wamekuwa wanalima wanavuna wanakula wanazaliana wanasahau shida zao kwa muda.

Hata polisi na vyombo vya ulinzi huwa wanadhani kwamba wanafanikiwaga kuwa contain watanzania, lakini wala haipo hivo. Hakuna mtu anaweza ku control umma wa watu milioni 70.

Hivyo, CCM waogope sana hili joto na jua kali nchini kwa sasa.
CCM NI SIKIO LA KUFA
 
Bado Lissu et al hawajaanza kuzunguka na helicopter kutoa Elimu ya Uraia juu ya NO REFORMS NO ELECTION
 
Back
Top Bottom