CCM Wasipogawanyika NCHI wataimaliza

CCM Wasipogawanyika NCHI wataimaliza

ELNIN0

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2009
Posts
4,161
Reaction score
1,476
CCM wasipogawanyika ndani ya miaka 10 ijayo basi nchi yetu wataitafuna yote. Tumeshuhudia makundi mawili ndani ya chama hiki kikongwe kabisa lakini kadri siku zinavyozidi kusogea kwenye uchaguzi wanaweza kuwa kitu kimoja, wasiwasi wangu ni kwamba wakiungana tu (Mafisadi na Wasafi) sisi wananchi tumekwisha, watachukua kila kitu by the time tunashituka usingizini nchi nyeupee pee.

Haya makundi pia yamesaidia changamoto hasa bungeni kusimamia utendaji wa serikali kwa ujumla ingawa baadhi ya wabunge wamepata kashi kashi kidogo in the process. ila wasiogope hakuna mapinduzi ya lelemama kokote duniani lazima upigane kufa na kupona na hawa mifisadi wana nguvu na mizizi ndani ya CCM usipime ndiyo maana baadhi ya wabunge wanatishiwa hata kun'golewa kwenye majimbo yao.

Siku moja ningependa chama hiki kikongwe kimeguke ili kizaliwe kingine na hapo tutakuwa tumeingia kwenye stage nyingine ya demokrasia ya kweli, kwa sasa ni kama bado tuna chama kimoja tu.
 
CCM wasipogawanyika ndani ya miaka 10 ijayo basi nchi yetu wataitafuna yote. Tumeshuhudia makundi mawili ndani ya chama hiki kikongwe kabisa lakini kadri siku zinavyozidi kusogea kwenye uchaguzi wanaweza kuwa kitu kimoja, wasiwasi wangu ni kwamba wakiungana tu (Mafisadi na Wasafi) sisi wananchi tumekwisha, watachukua kila kitu by the time tunashituka usingizini nchi nyeupee pee.

Haya makundi pia yamesaidia changamoto hasa bungeni kusimamia utendaji wa serikali kwa ujumla ingawa baadhi ya wabunge wamepata kashi kashi kidogo in the process. ila wasiogope hakuna mapinduzi ya lelemama kokote duniani lazima upigane kufa na kupona na hawa mifisadi wana nguvu na mizizi ndani ya CCM usipime ndiyo maana baadhi ya wabunge wanatishiwa hata kun'golewa kwenye majimbo yao.

Siku moja ningependa chama hiki kikongwe kimeguke ili kizaliwe kingine na hapo tutakuwa tumeingia kwenye stage nyingine ya demokrasia ya kweli, kwa sasa ni kama bado tuna chama kimoja tu.

Kwahiyo ELNINO Vyama vyote vya upinzani hapa nchi kama CHADEMA,CUF n.k ni wasanii tu na hawana sera za maana za kuendesha Nchi bali ni CCM.BRAVO MKUU
 
Kwahiyo ELNINO Vyama vyote vya upinzani hapa nchi kama CHADEMA,CUF n.k ni wasanii tu na hawana sera za maana za kuendesha Nchi bali ni CCM.BRAVO MKUU

Nawatambua vizuri pamoja na michango yao na sera zao nzuri hasa CHADEMA, ila hawana nguvu ya kushika dola kwa sasa kwani wamebanwa kila kona Mkuu, niamini nisemayo hadi hapo kundi B toka CCM linakapomeguka ndipo demokrasia ya kweli itapepea tanzania.

(Reference KANU - Kenya)
 
Nawatambua vizuri pamoja na michango yao na sera zao nzuri hasa CHADEMA, ila hawana nguvu ya kushika dola kwa sasa kwani wamebanwa kila kona Mkuu, niamini nisemayo hadi hapo kundi B toka CCM linakapomeguka ndipo demokrasia ya kweli itapepea tanzania.

(Reference KANU - Kenya)

Elnino,

Mfano wa Kenya does not hold water here. Watu wa Kenya hawakufuata mpasuko wa KANU ila baadhi ya viongozi wa KANU waliona alama za nyakati. Tatizo letu wananchi bado hawajaamuka na hawaamini nchi haiwezi kuongozwa na chama kingine zaidi ya CCM. Kwa taarifa yako wabunge wengi wa upinzani wana uelewa mkubwa kuliko wa wale wa CCM. Na vilevile upinzani inasimamisha watu bora kulinganisha na wale wa CCM. Sasa kama utawapa madaraka I am sure wanaweza kunda serikali bora kuliko ya CCM. Tatizo letu tunataka kusikia majina yale yale na ndiyo maana watoto wao wameanza kupokea vijiti.
 
Back
Top Bottom