ELNIN0
JF-Expert Member
- Nov 26, 2009
- 4,161
- 1,476
CCM wasipogawanyika ndani ya miaka 10 ijayo basi nchi yetu wataitafuna yote. Tumeshuhudia makundi mawili ndani ya chama hiki kikongwe kabisa lakini kadri siku zinavyozidi kusogea kwenye uchaguzi wanaweza kuwa kitu kimoja, wasiwasi wangu ni kwamba wakiungana tu (Mafisadi na Wasafi) sisi wananchi tumekwisha, watachukua kila kitu by the time tunashituka usingizini nchi nyeupee pee.
Haya makundi pia yamesaidia changamoto hasa bungeni kusimamia utendaji wa serikali kwa ujumla ingawa baadhi ya wabunge wamepata kashi kashi kidogo in the process. ila wasiogope hakuna mapinduzi ya lelemama kokote duniani lazima upigane kufa na kupona na hawa mifisadi wana nguvu na mizizi ndani ya CCM usipime ndiyo maana baadhi ya wabunge wanatishiwa hata kun'golewa kwenye majimbo yao.
Siku moja ningependa chama hiki kikongwe kimeguke ili kizaliwe kingine na hapo tutakuwa tumeingia kwenye stage nyingine ya demokrasia ya kweli, kwa sasa ni kama bado tuna chama kimoja tu.
Haya makundi pia yamesaidia changamoto hasa bungeni kusimamia utendaji wa serikali kwa ujumla ingawa baadhi ya wabunge wamepata kashi kashi kidogo in the process. ila wasiogope hakuna mapinduzi ya lelemama kokote duniani lazima upigane kufa na kupona na hawa mifisadi wana nguvu na mizizi ndani ya CCM usipime ndiyo maana baadhi ya wabunge wanatishiwa hata kun'golewa kwenye majimbo yao.
Siku moja ningependa chama hiki kikongwe kimeguke ili kizaliwe kingine na hapo tutakuwa tumeingia kwenye stage nyingine ya demokrasia ya kweli, kwa sasa ni kama bado tuna chama kimoja tu.