CCM wasituburuze kuhusu suala la katiba

mzamifu

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2010
Posts
6,400
Reaction score
3,853
CCM hawakuwa na agenda ya katiba mpya katika manifesto yao ya uchaguzi 2010. hawakuwa na suala la serikali moja wala tatu bali mbili. sasa ni kwa nini wanatuburuuza katika suala hili? utaona wamepitisha mswada harakaraka bila wapinzani, kwa nini?
 
Wameshatuburuza mpaka hapo, sasa ni kutafuta tunafanyaje kukabili kile walicholenga. Ccm wamezoea hujuma ktk kila kitu. Ndiyo maana wanapenda kuwa na watu mbumbumbu ili kile kilichopangwa/kuamriwa na wachache(vikao), wanachama na wabunge wao wasiweze kupinga wala kujengea hoja. Kwa ujumla nchi yetu iko mikononi mwa watu 31/32 tu (cc ya ccm). Kuna haja ya kujiandaa kupiga kura ya HAPANA, ingawa hata hizo kura wataziiba tu. Ogopo chama na dola iliyochanganyikiwa kwa rushwa na dawa za kulevya!!!!!
 
cdm IKICHUKUA NCHI 2015 WHICH IS EMINENT MCHAKATO UNAANZA UPYA HUU WA KIHUNI TUTAACHANA NAO HAUTUFAI KABISA. INAKUWAJE TUPO KWENYE MCHAKATO JK ANAINGIA MIKATABA 17 NA CHINA KWA MKUPUO .JE BAADHI KAMA YAMEAINISHWA KUREKEBISHA NA YEYE KASHAINGIA MIKATABA YA MIAKA 100 SIMNAONA TUNAVYOCHEZEWA WATANGANYIKA? HII SIYO HAKI LAZIMA ONE DAY MCHAKATO WA KATIBA UFANYWE UPYA NA WATU WOTE WASHIRIKISHWE BILA KUSHURUTISHWA KAMA INAVYOFANYWA NA MAGAMBA HAWA WASIO NA CHEMBE YA UCHAJI WALA KUMUOGOPA MUNGU HATA KIDOGO
 
Katiba ndio kila kitu sema sisi wananchi ndio watu wenyemsimamo kama wakenya tusikubali kuburuzwa kama hawatochukua maoni yetu basi maandamano ndio mpango mzima mpaka kieleweke tunataka katiba yetu sisi watanzania sio kwaajili ya chama fulani au mtu fulani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…