CCM watangaza kumshtaki Zitto kwa kuwadhalilisha

Ni Chadema pekee huwalazimisha CCM kutafuta kura feki kwenye mabegi meusi, ndio maana Zitto hupenda sana kushirikiana na Chadema wakati wa uchaguzi coz anajua anataka kutumia mgongo wa Chadema kufika anapotaka, kinyume na hapo CCM wanashinda kihalali kabisa, hakuna upinzani makini Tz nje ya Chadema, ACT bado wachanga sana field, ni mbwembwe za mitandaoni tu ndio zinawadanganya wanajiona wapo juu.

Zitto kusema kavamiwa na mapanga bila kuumizwa, bila kuyapiga picha, lakini hapo hapo wanatuonesha picha za magari na plate number, kwann wasingepiga picha na hayo mapanga? hawa jamaa siwezi kuwaamini, na huyu Zitto kwa kukurupuka kwake ataanza kuwarudishia CCM legitimacy waseme huwa wanashinda chaguzi kihalali hata kama huwa wanaiba kura.
 
Ninyi wanasiasa nawachukia sana maana wote ni majambazi tu wa kujilimbikizia malii za Watanzania
 
ACT ni CCM B...wanajuana hao...acha waparurane
 
Ccm ni chama cha majambazi! Hivyo huwezi kukitenganisha na wizi wa kura, wizi wa mali za umma, uporaji, uhujumu uchumi, ujangili, ufisadi, nk.
 

Ni vizuri Zito kushiriki mwenyewe sasa ili kila aliyekuwa haamini yasemwayo kuhusu Zito awe na ushahidi usioacha shaka. Na ile jeuri ndogo aliyokuwa nayo Zito sasa amejua fika nguvu yake iko wapi.

Nimejaribu kumuuliza kila social media aliyoko aweke picha ya misururu ya wapiga kura, ili tuone imani waliyo nayo wapiga kura. Naona hilo sio yeye wala Nape wamethubutu kujibu. Ni kwamba kwa sasa wananchi wengi wamepoteza imani ya box la kura, hivyo ccm ndio wanapaswa wajitafakari sana kuliko hata ACT kwenye uchaguzi huu na zijazo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…